sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
kwahiyo itakuwa siku ya KUPANDA MITI? sasa inatakiwa wavae zilizoandikwa Tunza Mazingira na siyo ukuta.Bado zitatumika siku ya kupanda miti kitaifa tarehe 01 October. Kuwa na subira!
kwahiyo itakuwa siku ya KUPANDA MITI? sasa inatakiwa wavae zilizoandikwa Tunza Mazingira na siyo ukuta.Bado zitatumika siku ya kupanda miti kitaifa tarehe 01 October. Kuwa na subira!
Fisadi lowasa tapeli mbowe ni wasanii sanaa
MTA ONGEA SANA. TUONE NANI ANA UBAVU WAKU JENGA HIYO UKUTA. USHA AMBIWA HAPA KAZI TUUHabari ndo hii jamaa yuko online, UKUTA hadi october mosi, Chezea pombe wewe!
hahahahah eti wameahirisha maandamano, wameogopa kipigo
sema unasubiri! sio tunasubiri
Failures. Full stop.Huoni Polisi ma Serikali wanavyohangaika kuhusu UKUTA? na sasa mpaka Jeshi la Wananchi wameliingiza kwenye UKUTA,huoni kama waliobuni hilo opereaheni wameshinda?
Hawajitambui, wanaojitambua wanajua nini wanahitaji, kila siku matamko yasiyo na Tija, waache vurugu tufanye kazi, Tumechelewa kwa sababu ya uvivu na siasa za majitaka.Ukimiliki watu waliolala wala hupati tabu nikuwageuzia maneno na wao watafurahi itakuwa point,ameogopa tulijua hilo!