I know, so what?Your English sucks.
Kumuonea huruma tajiri huku umezungukwa na masikini kibao ni kioja .Duu.,..mkuu nakuonea huruma!!!
Nothing.I know, so what?
Mtu mmoja anacheza na akilizi za Wana UKAWA woote
aiseee
Kwanza mfaham kabisa kwamba CCM walijua tu ngoma hii haikeshi,na ndio maana hata issue ya Dodoma jamaa walijifanya mbwembwe nyingii eti wanakwenda kuzuia mkutano,mwisho wa siku wakaachia pyuu.
Utasikia mara leo UKAWA inatoa tamko zito,halafu mwisho wa siku hakuna jipya ni yale yale ambgaayo tumeyoyazoea.
Sasa CHAGADEMA,imepoteza uelekeo,na kila wanachofanya ni kwamba CCM wanajua kabisaaa mwisho wake ni nini.Huruma ni kwa BAVOCHA tu wanaoburuzwa
Kuna msemo huku kwa Pwani unaosema kwamba "Nampenda anaekula na sio yule asiependa kula"
Sasa wamekimbilia viongozi wa Dini,hawakuliona hili kwa Dr.Slaa?
Je,viongozi wa dini CHAGADEMA wanawajua leo?
CCM focus 2020,acha watoto waendelee kucheza na akili za watu,na kwa jua la Dar naona wote vijana wa Chadema wanakuwa wazee kabla ya muda kwa kuchezewa huku wakiendelea kushika UKUTA mpaka October
sumenti imeibiwa na wajanjaUjenzi umeahirishwa?
Naomba jibuKesho kweli ni Siku ya kupatwa kwa jua,au Mungu ameahilisha?.
Naomba jibu,nisije poteza muda na nauri.
Polisi hawana haja hiyo tena. Wameshafanya mazoezi ya kutosha.
Ok GAMBANothing.
tuvute muda kuendelea kusubiri kikao cha majadiliano.asante aiseee... ila nilihisi tu
pamoja na mimiWEWE NA NANI?,USINIPOTEZEE MUDA
Kulinda usalama ni kazi ya polisi haishi october... Hahahahaha Mbowe kavunja gia akiwa angani...
Acha uzembe nchi isimame kisa nini? Yani mnapenda kujipaisha wakati UKUTA mwsho Ufipa