Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,232
- 6,479
Habari wanajukwaa wa JF siasa.
Siku ya alhamisi kama Leo 12/04/1984, jemedari wa majemedari, mzalendo wa kweli na mwenye udhubutu wa thati na kiongozi mojawapo mzuri kushuhudiwa nchi hii, Waziri mkuu wa Tanzania Edward Moringe Sokoine alifariki ktk ajali ya gari eneo la Dumila Morogoro.
Leo anatimiza miaka 34 tangu atoweke akiwa na umri mdogo wa miaka 46 huku taifa bado likimhitaji.
Waliopo eneo la tukio muuendeleze uzi huu juu yanayojiri huko nyumbani kwao Monduli. Nimeleta Uzi huu tukio hili lisipite humu bila kujulikana kwani sisi Watanzani tu wepesi wa kusahau matukio muhimu ya Jamhuri yetu. Nasikia kuna misa kubwa huko Monduli- Arusha.
UPDATES: Niseme tu Wana JF na Watanzania wengine ambao wangewrmeza kuripoti tukio hili jukwaani, Jana hamjaitendea haki siku hii. Mada imeachwa ukiwa huku mkiripoti matukio mengi amayo hata wakati mwingine huwapa mods wakati mgumu.
Siku ya alhamisi kama Leo 12/04/1984, jemedari wa majemedari, mzalendo wa kweli na mwenye udhubutu wa thati na kiongozi mojawapo mzuri kushuhudiwa nchi hii, Waziri mkuu wa Tanzania Edward Moringe Sokoine alifariki ktk ajali ya gari eneo la Dumila Morogoro.
Leo anatimiza miaka 34 tangu atoweke akiwa na umri mdogo wa miaka 46 huku taifa bado likimhitaji.
Waliopo eneo la tukio muuendeleze uzi huu juu yanayojiri huko nyumbani kwao Monduli. Nimeleta Uzi huu tukio hili lisipite humu bila kujulikana kwani sisi Watanzani tu wepesi wa kusahau matukio muhimu ya Jamhuri yetu. Nasikia kuna misa kubwa huko Monduli- Arusha.
UPDATES: Niseme tu Wana JF na Watanzania wengine ambao wangewrmeza kuripoti tukio hili jukwaani, Jana hamjaitendea haki siku hii. Mada imeachwa ukiwa huku mkiripoti matukio mengi amayo hata wakati mwingine huwapa mods wakati mgumu.