ulimbo lunopo
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 243
- 37
prof mpangala awachana ccm kwa kung'ang'ania madaraka kwa ubabe
Atakua kapigiwa simu na kimada wake
Kwanza, Chadema hawakuspecify.
Walisema "amani haijadiliwi", "amani inawekwa"
Period
Mwezi haujatimia Katibu Mkuu wa Chadema anaenda kujadili amani
Hivi pale mkisema huwa hamjui mnachokisema, au ndio kujisemea lolote tu alimradi litakaloungwa mkono na watu kwa wakati ule?
Mkuu, Lissu kamchana live Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, A.K.A Baba wa Taifa.tundu lissu amemchana mwalimu nyerere. ameonesha mauaji na udikteta wa hali ya juu uliokuepo kipindi cha nyerere. hongera lissu kwa kuliona hili!
Taja waliouliwa,lakini sikia mchangiaji anakwambia mfumo wa vyama vingi ni mbovu.
Mkuu, Lissu kamchana live Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, A.KA Baba wa Taifa.
Hivi Huyu Lilian Wassira ndo yule alishawahi kuja hapa JF
Kuna Mjeshi mmoja wa JWTZ na magwanda yake yupo pia. Nataka nione akiongea kidogo maana hawa watu wamefungwa midomo na watawala kabisa.
Kwetu umeme tangu saa 2 hadi sasa haujarudi. Natumia kasimu kuipata jf
Lilian Wassira si mwanasiasa ila ni mwanaharakati na huu sio wakati wake.
Acha uwongo.Amani tangu lini ikaombewa kanisani au msikitini?