wewe ndo mpambavu,kwani kinakuuma nini,au ulitaka wewe ndo nikufanyie tathimini?weka picha basi.We ni mpambavu kweli. Wewe uko kwenye screen kutazama sura?
Hivi ukiambiwa utaje wahuni utamwacha mbowe,slaa na lisu?
Mmh,huyu lilian wasira kumbe ndo yuko hivyo?.
Jamani si kuna kipindi mlikuwa mnasema eti ni mrembo sana au zilikua siasa tu.
Amani ni tunda la haki si tunda la maombi. Mimi pamoja na kwamba nna dini lakini najua maombi hayaleti amani. Na mara nyingi hata wanaovuruga amani wanashirikiana na hao viongozi wangu wa dini kwa faida zao hata kama wanaharibu amani.
Big up Ryoba. Huo ndio ukweli. Amani ni tunda la sayansi ya haki. Period.