Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Katika Mapokezi ya Tundu Lissu na Mkutano Mkubwa wa Hadhara Geita Mjini

Nimesoma sentence ya kwanza na nikaishia hapo hapo baada ya kugundua umeandika upuuzi😎
 
Kww taarifa yako kuibiwa mtaibiwa na hamna ubavu wa kufanya chochote Kama tumewaengua madiwani wenu karibu 400 na mko kimya mnafikiri mnaweza kufanya nini?

Yaani ni hivi kura mtaibiwa na mkireta chokochiko tunafunua marinda kuanzia ya shangazi zenu.
Wale vijana wenu mliwapa mawe pale ofisi yenu ya CCM wamshambulie lissu wanaendelea hapo na matibabu????
Meno yote ya mbele hamna hata moja
 
Molemo, siyo vizuri, umeiba picha maktaba ya taifa ati Una Sema ni Lisu!! Moja ni ya mwaka 1922 matembezi ya mshikamano, akiongoza kawawa! Ya pili na ya tatu ni nane nane mwaka 1898, anaongoza Sokoine! Kwanini mnampa sana Lisu ujiko wa nyomi!? Tutawashitaki tume, na kuanzia wiki ijayo kutumia camera yoyote ni laki kwa siku na kupost picha milioni moja kwa siku!😂😂
 
Acha blabla mpuuzi wewe. Uchaguzi uwe huru na haki full stop hamwezi kuingia kwenye huku mkitegeme njia za kishenzi mtazamwe tu.
 
Geita:Nimebahatika kuhudhuria mkutano wa,Magufuli Geita,na jana nimebahatika kumsikiliza Tundu Lisu hapa hapa Geita.Usiku wa kuamkia leo 25 Sept nimefanya maamuzi ya nani nitampigia tarehe 28 Oct.MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Nimekuuliza je kila nchi mauaji yanamotokea au kupigwa risasi watu ni rais na serikali yake?
Hiyo tweetvideo nimeiona ila na nimeilewa pia na Membe ndio kashapotezwa. Ila kila mtu ana uelewa wake anyways
Mkuu kwa baadhi ya matukio hapa kwetu yapo tofauti yahani unaona mamlaka zilizo takiwa kusaidia wahusika wajulikane zinajitahidi kuuficha ukweli. Matukio yote ya mauaji yyanayo "wahusisha" wanasiasa huwa yana fumbwa fumbwa ili yasijulikane mhusika ni nani, umakumbuka pale Soweto Arusha?....
 
Mkuu, iko wazi kwamba ccm na serikali hii ya awamu ya tano ndio waratibu na wasimamizi wa matukio yoote ya kuteka na kuua hapa nchini,
Kwa kukumbusha tu, Daudi Mwangosi, Azoly, Ben Sanane., Kamanda Mawazo,..............................................................orodha jadidi
 
Baada ya tarehe 28/10/3/2020 ...atakuwa Tundu la chooo na siyo lisulu.
Sawa sawa NEC....
Tundu Lissu kiboko yao...... Mpaka sasa katembelea vijiji kibao ambavyo Hakuna rais amewahi kufanya hivo.... Bila shaka yupo humu yy au wasaidizi wake watamjulisha.....

Hatutaki tena magufuli dikteta na fisadi mkuu wa taifa na mharibifu wa uchumi wa nchi na watu
 
Nakuhakikishia hakuna Kura itakayoibiwa mwaka huu.Mlizoea Sasa mmekutana na Mwamba msidhani ni Lowassa huyu
Hindsight:
Kuna msemo mmoja anapenda kuutumia Mch Peter Msigwa, kuwa kufanya jambo lile lile, kwa njia ile ile na kutegemea matokeo tofauti ni uendawazimu. Probably nyakati hizi wanautafakari kwa kina na kuufanyia kazi kuelekea 2025.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…