Yaliyojiri katika M4C Operation Pamoja Daima jijini Arusha

Yaliyojiri katika M4C Operation Pamoja Daima jijini Arusha

Alafu huyo Shozi sijamuona hata kwenye kumpongeza Chemba, Vipi? Mjamzito nini kalazwa maana Mimba changa zinasumbua sana.

Mkuu Kibanga kampiga Mkoloni,watakua kwenye korido za Lumumba wanaugulia Maamuzi,maana Dr.wa Ukweli Slaa aliwafuata kwao Mbozi kagawa dozi vibaya mno hahahahahaha.
 
kwa kuwa magogoni wanaenda kumaliza salio mwakani wameamua liwalo na liwe,Imagine Nkamia anaingia kwenye baraza la mawaziri richa ya kuwaambia watanzania wenzie ati haongei na mbwa bali na mwenye mbwa,mwiguri nae anaingia kwenye baraza,hii ni hatari,ingekuwa interview ningesema hata mwenye ....wa kachemka pia.
Sasa it is pay back time.
 
pamoja daimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkutano umeanza muda, ambapo kabla ya mkutano kuhusu OPD Tundu Lissu na Heche walizungumzia uchaguzi wa Sombetini.

Hivi Sasa anazungumza Lissu, anasema Madini ya Tanzanite yapo Arusha lakini siyo ya watanzania, bali ya wamarekani, Gesi ipo Tanzania lakini siyo ya watanzania, Tuna wanyama wengi vivutio lakini siyo mali ya watanzania, mitandao ya mawasiliano ipo Tanzania lakini siyo ya kwetu. Amesema nchi imeuzwa na ccm. Akauliza wananchi kama kila kitu wamepewa wageni tumebakiwa na nini? wananchi wakasema Virobaaaa!!!!

Anaendelea kuzungumza kuwa watanzania tujifunze kusoma alama za nyakati.

operation ondoa magamba,,, oom ndo habari ya mjini
 
Mkuu Mungi ubarikiwe sana , japo updates zimechelewa sana lakini tunashukuru .
 
Baada ya filamu ya MM walifikiri wameua! Sasa wanabamizwa kila kona ya nchi! Ulaghai haulipi!
 
Back
Top Bottom