Yaliyojiri katika M4C Operation Pamoja Daima jijini Arusha

Yaliyojiri katika M4C Operation Pamoja Daima jijini Arusha

Tahadhari: wananchi waliohudhuria wawe makini na mabomu ambayo jamaa wanaweza kujilipua ili ku seek popularity
 
Hiyo ndio demokrasia? Akumbuke kuwa kadi yake alikabidhiwa na zitto
Hill sio tatizo...mtu akivurunda haijalishi kafanya mangap...hzo mambo zko ccm kwenu Mara mizengo pinda alishindwa kuchukua hatua kweny maamuz ya bunge kuhusu richmond kiss itapasua nchi....weak leaders eveeeeer!!!!
 
Mungi ni hopeless Kabisa yani na umri na uwepo wake JF anashindwa kuweka update katika main post n yeye anaziweka km post tunashindwa kufuata mtiririko w hadithi zake Moderator, Paw, buchnang naomba mumsaidie uyu bwana sio tatizo lake tatizo he is a JF illiteracy

Hapo kwenye red: Kwa watanzania wenzako walioenda shule na kuelimika wangeandika he is a JF illiterate lakini kwa kuwa ni wewe mbumbumbu unayeishi kwa hisani ya Lumumba project tunakusamehe! Jamani kuishi kwa ukajanja mjini kwa kutegemea ofisi ya Lumumba itawapeleka kubaya, nendeni shule mpate elimu ya uhakika ili muache kulamba miguu ya wanasiasa.
 
Ccm washatambua kuwa hawana chao, wakweka mikutano wananchi hawaendi wala hawana mpango wa kusikiliza ngonjera zao, ndio maana wanafanya kama wanavyotaka bila kujali, sababu wanajua kitumbua kimeingia mchanga.
Tundu Lisu ni mtoa elimu mzuri sana nampenda pia anavyojiamini!!Huyu jamaa Mungu amlinde ampe nguvu aendelee kutuelimisha safi sana.Kumbe tunakimbizwa na jeshi utafikiri ni vita kumbe jambo la kawaida je ikitokea vita tutapeleka tutapeleka akina nani!!?
 
Gamba mageti 6,anakula za uso huku.Wenzake wamemkimbia hahahahahaha,wapi Ritz,Mwampepo na Shonzi J.Njooni mmuokoe Sixgates
 
Tundu Lisu ni mtoa elimu mzuri sana nampenda pia anavyojiamini!!Huyu jamaa Mungu amlinde ampe nguvu aendelee kutuelimisha safi sana.Kumbe tunakimbizwa na jeshi utafikiri ni vita kumbe jambo la kawaida je ikitokea vita tutapeleka tutapeleka akina nani!!?

...well noted !!!!
 
Hapo kwenye red: Kwa watanzania wenzako walioenda shule na kuelimika wangeandika he is a JF illiterate lakini kwa kuwa ni wewe mbumbumbu unayeishi kwa hisani ya Lumumba project tunakusamehe! Jamani kuishi kwa ukajanja mjini kwa kutegemea ofisi ya Lumumba itawapeleka kubaya, nendeni shule mpate elimu ya uhakika ili muache kulamba miguu ya wanasiasa.

Tatizo Elimu Akhera/Madrasa tukiwaambia twendeni shule wanasema makafiri.

Hawajifunzi kwa JK aliye batizwa na kula kitimoto kisa Elimu, Na hili tumeruhusiwa Waislam kuwa kwa vyovyote hata kwa kuipa elimu Uchina twende, Enzi hizo Uchina ndio walikuwa makafiri wa kutisha.

Mimi nilisoma na Msalaba Kifuani kwenye Baji ya shule na sikujali wala kustuka kwa kuwa lengo lilikuwa Elimu.
 
Back
Top Bottom