Yaliyojiri katika M4C Operation Pamoja Daima jijini Arusha

Yaliyojiri katika M4C Operation Pamoja Daima jijini Arusha

Haiwezekani mtu kuwa maarufu kuliko kuwa chama kilichompa umaarufu.
 
Hatuonei mtu, lakini vile vile hatutaweza kumwogopa mtu yeyote. Zitto aliposhtakiwa na Yusuf Manji, chadema iliingilia kesi, ikasema hii siyo kesi ya Zitto na Manji, bali kesi ya chadema na yusuf manji. chama kilimtetea tukashinda.
 
Ccm washatambua kuwa hawana chao, wakweka mikutano wananchi hawaendi wala hawana mpango wa kusikiliza ngonjera zao, ndio maana wanafanya kama wanavyotaka bila kujali, sababu wanajua kitumbua kimeingia mchanga.
Wao wanahakikisha hii kitu inakuwepo tuu.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    52 KB · Views: 199
Amezungumzia suala la Zitto Kabwe, kwamba chadema walishamalizana na Zitto Kabwe, anasema anabaki tu kama mwanachama wa chadema kupitia mahakama.
Af huyo jamaa inasemekana ni mgonjwa wa kudumu pale mirembe
 
Njia iliyobaki ya kutupeleka mbele ni katiba mpya. Tume ya Warioba imeleta rasimu nzuri, imetumia bilioni 74, ccm wamekuja na mkakati wa kuivuruga, tujiandae kujiandikisha watakapoleta daftari la kupiga kura ili wakileta kura ya maoni kuhusu katiba tupige kura
 
Mungi ni hopeless Kabisa yani na umri na uwepo wake JF anashindwa kuweka update katika main post n yeye anaziweka km post tunashindwa kufuata mtiririko w hadithi zake Moderator, Paw, buchnang naomba mumsaidie uyu bwana sio tatizo lake tatizo he is a JF illiteracy
 
Last edited by a moderator:
Njia iliyobaki ya kutupeleka mbele ni katiba mpya. Tume ya Warioba imeleta rasimu nzuri, imetumia bilioni 74, ccm wamekuja na mkakati wa kuivuruga, tujiandae kujiandikisha watakapoleta daftari la kupiga kura ili wakileta kura ya maoni kuhusu katiba tupige kura
Hizo ni kampeni chafu kabla ya wakati, ni kuwashinikiza watu wafanye unavyotaka wewe.
 
Back
Top Bottom