Yaliyojiri katika M4C Operation Pamoja Daima jijini Arusha

Yaliyojiri katika M4C Operation Pamoja Daima jijini Arusha

Amezungumzia suala la Zitto Kabwe, kwamba chadema walishamalizana na Zitto Kabwe, anasema anabaki tu kama mwanachama wa chadema kupitia mahakama.

hivi huyu lissu zito alisha mmini kabang nini? maana ana mahaba na zito kushinda mke wake. akilala zito. akiamka zito.akiota zito. eeeeh, kweli lisu amechanganyikiwa
 
Nilikuwepo sombetini/ngusero mwisho wa hiace!!kwa majukumu niliokuwa nayo leo ckukaa kusikiliza makamanda wote!!!Heko Chadema!!!Chadema daima
 
Back
Top Bottom