VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Sio kivile mkuu, wana lao moyoni. Ipo shida kubwa mfano wadau sector afya,elimu. Unyanyapaa wa wazi. Hali za waumini wengi ni duni,same sadaka.Kuelekea 2020 ikulu imetumia karata yake vzr kuwaita viongozi wa dini na kuwasikiliza, huu ni mtego mzuri wa kuwagombanisha viongozi wa dini na vyama vya upinzani.
Kwa maoni yng mi naona ni bora viongozi wa upinzani wakakaa kimya na kuliacha hili lipite kuliko kuanza kuliongelea kwa hasira, kejeli na dharau kitu ambacho ndio shabaha iliyokusudiwa kuwatenganisha viongozi wa dini na vyama vya upinzani ili kuvunja umoja na mshikamano baina yao kuelekea uchaguzi mkuu wa 2020.
Divide and rule inafanya kazi mpk misikitini na kanisani.
Maendeleo hayana chama
Sent using Jamii Forums mobile app