Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

Wachagga wanatafuta pesa za kuendea Moshi kula Krismas kwa udi na uvumba.
 
Kuhoji serikali ni jukumu na haki ya kila raia mlipa kodi ila kuhoji mambo ya chama ni haki ya wanachama pekee. Mtu wa nje ya chama akihoji hicho kinaitwa kiherehere.
Halafu hapo nikusahihishe kidogo. Hakuna serikali ya CCM bali kuna serikali inayoongozwa na CCM. Serikali ni ya wananchi wote raia wa Tanzania, msipende kuibinafsisha.
Siyo kweli vyama vyote vya siasa vinaweza kuhojiwa na wananchi sababu vinapewa kodi zetu kama ruzuku labda hiyo sheria ifutwe ya ruzuku ndipo watu wasihoji.

Unarusha ngumi hewani tu hii serika ni ya CCM ndiyo maana mnatokwa na povu.

NEC wanayopanga ndiyo yanayofuatwa na serikali.
 
Chama cha kaskazini katika tv ya mtu wa kaskazini... chagadema

hiv ww ni jinsia gan maana sikuelew kabisa. Haina maana sis 2naoish huku wote ni chadema mm sina chama wala sitaki usiwe unaongea pumba udin, ukabila, ukanda havina nafas tz
 
hiv ww ni jinsia gan maana sikuelew kabisa. Haina maana sis 2naoish huku wote ni chadema mm sina chama wala sitaki usiwe unaongea pumba udin, ukabila, ukanda havina nafas tz

Bwa shee usikose ktk harambe kukichsngia chama chenu cha chagadema
 
Siyo kweli vyama vyote vya siasa vinaweza kuhojiwa na wananchi sababu vinapewa kodi zetu kama ruzuku labda hiyo sheria ifutwe ya ruzuku ndipo watu wasihoji.

Unarusha ngumi hewani tu hii serika ni ya CCM ndiyo maana mnatokwa na povu.

NEC wanayopanga ndiyo yanayofuatwa na serikali.

Usipopata kichaa mwaka huu basi katambike! Mtatandikwa kila kona hata mkijifanya yetu!! Wewe subiri kujiunga policeccm!
 
Inawezekana hiyo harambee imeandaliwa na Mengi. Si unajua tena wachaga wameamua kuungana kutengeneza kiota chao!!! Wakuwasikitikia ni wale wenzangu na mie wasiojitambua na kuamua kuijenga empire ya kazkazini wakati kwao kusini. Yani ni sheedah...

Kwa hiyo nani unayemjua anawasaidia kuijenga kusini? Hata CCM hawajafanikiwa kwa miaka mingi tangu uhuru kutoka kwa wakoloni upatikane!! Unapotosha!
 
Hela za kwenda Serena hotel wamepata wapi? hela alizochangisha Lema za m4c ziko wapi? yaani tuache kuchangia maabara tuchangie ujinga??

pathetic fool....
 
Mnh sasa km walimfukuza Zzk aliyekua anahoji usalama wa pesa za wavuja jasho me sichangii hata cent maana watakula tu hizo pesa
 
Kutakuwa na harambee ya CHADEMA itakayofanyika kesho tarehe 31/10/2014 katika ukimbu wa Serena Hotel na kurushwa live na ITV kuanzia saa 3 usiku mpaka 5 usiku.

Katika harambee hiyo,CHADEMA watazindua matumizi ya teknolojia katika siasa.

CHANZO:ITV
hiyo pesa itumike kuwajengea uwezo viongozi wa chini ngazi ya vitongoji na vijiji. Chadema wana viongozi dhaifu sana katika ngazi za mitaa na vijiji. Bila kufanya hivo watanzania watasubiri sana mabadiliko.
 
Back
Top Bottom