tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Povuu kma lote,kunywa mtori nyama utakuta chiniTundu Lissu anapoteza umaarufu kwa Kasi Sana. Less people pay attention to his posts of recent.
Anapoteza quality za "stateman"
Zodoa zodoa haijawahi kuwa sifa nzuri ya kiongozi wa nchi. Ni sifa nzuri ya mwanaharakati.
Mungu tu amjalie roho ya ukimya kwa kipindi hiki Cha msiba huu mkuu wa taifa. Atuache tumzike mpendwa wetu kwanza