Naona ameshangiliwa sana kiasi cha kumchanganya mtangazajiJamaa pamoja na madhaifu yake lakini alikuwa kiongozi kipenzi cha watu sana.
kanijibu japo amesha staafu jibu nikwamaba 'mitambo ni michakavu na mibovu'Always with distorted sound 'gonja kuna Board member wa TBC niko karibu naye
. ... app ya itv mubashara kbsaaa!Kwanza wakati vituo vyote vimededicate muda wao kucover sherehe za Muungano nyie TBC2 inaonyesha bongo flavour(shame) Pili picha za uwanjani zinaonyesha askari wote ni wafupi na wapana kuliko kawaida. Sauti ya mtangazaji utadhani ana maji mdomoni. Muziki wa band hausikiki. Yaani hadi kero. Si kawaida yangu kuangalia TBC, ila kwa umuhimu wa leo nimepitia nikitegemea the best nikaambulia stress.
Hongera vituo vingine, hasa ITV na East Africa wote mpo mubashara bila chenga. Huu ndo uzalendo. TBC ningekuwa na uwezo ningewafungia maana mnatuchosha bure.
Update. Angalau sauti mmerekebisha bado picha sasa, na hizo bongo flavour zenu wakati wa issue serious za kitaifa.
Patriots of this nation!Who is interested in that
hivi tbc mnaumwa ugonjwa gani. yaani tv ya taifa ni ya ovyo tv binafsi ndio watu wanaangalia pamoja wanatamani wangeangalia tbc. au wafanyakazi wa tbc wanahongwa kuhujumu tv ya taifa.Kwanza wakati vituo vyote vimededicate muda wao kucover sherehe za Muungano nyie TBC2 inaonyesha bongo flavour(shame) Pili picha za uwanjani zinaonyesha askari wote ni wafupi na wapana kuliko kawaida. Sauti ya mtangazaji utadhani ana.maji mdomoni. Muziki wa band hausikiki. Yaani hadi kero. Si kawaida yangu kuangalia TBC, ila kwa umuhimu wa leo nimepitia nikitegemea the best nikaambulia stress. Hongera vitio vingine, hasa ITV na East Africa wote mpo mubashara bila chenga. Huu ndo uzalendo. TBC ningekuwa na uwezo nngewafungia maana mnatuchosha bure
Update. Angalau sauti mmerekebisha bado picha sasa...Na hizo bongo flavour zenu wakati wa issue serious za kitaifa.
Jamani sio wote, mbona mimi ni Mangi na nafurahia sana? Nina tii mamlaka iliyowekwa madarakani na Mwenye Enzi Mungu, kwenda kinyume na hapo ni kujitafutia ma stress yasiyo na kichwa wala miguu! Long may he reign JPM!Every loyal Tanzanian except mamangi
Na maadhimisho yenyewe yamepoa sana hayavutii kuangalia.wanajeshi hawa tunawaona kila siku wakifanya hayo makeke yaoMbona uzi umepoa sana?kwanini?
Wewe utakuwa unaona maadhimisho ya huko Bulyankulu mgambo wakipigana na kukanyaganaNa maadhimisho yenyewe yamepoa sana hayavutii kuangalia.wanajeshi hawa tunawaona kila siku wakifanya hayo makeke yao
Kwako labda. Kwa sisi wa Dodoma, tunayafurahia mno kwa sababu hapa kwetu hayafanyiki kila siku kama ilivyo huko kwenu!Na maadhimisho yenyewe yamepoa sana hayavutii kuangalia.wanajeshi hawa tunawaona kila siku wakifanya hayo makeke yao
Kama wanasomba kweli.....?,uliza awali kma una hoja juu ya andiko lake sio vitisho vya KiBASHITE-BASHIT(0%).Mnatia hasira sana nyie watu, anyways siku zenu zinahesabika.
Subiri mei mosi 2020Nyongeza ya mshahara kwa watumishi wote wa umma!