Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Tatizo yule mzee ni m'bishi,nimemwambia tangulia ikulu kura zitakufuata huko huko hanielewi
Mkuu mwache awaone kwanza watanzania wake
Tatizo yule mzee ni m'bishi,nimemwambia tangulia ikulu kura zitakufuata huko huko hanielewi
Sheitwani ni babu yako
Na hapo hakuna sombelea na wasanii maarufu ndio ujue watu wameamua ni mabadiliko tu
Tunamtaka Ndugu yetu Magufuli nae aende Monduli haiwezekani aonewe mpaka kwake, ila Lowassa nuksi...
peooooooopleeeeeeeeeeeeezzzzzz,,,,,,
Naamini maccm leo watakuwa wanatetemeka ile mbaya
Wewe ni mamako