Mgombea Urais kupitia Mwamvuli wa CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa, leo atakuwa Wilayani Chato mkoani Geita, mahali alipozaliwa Magufuli.
Walioko huko wanasema mji unazizima kwa ujio wa gwiji wa siasa za Tanzania na rais mtarajiwa, toka jaana vijana na Wazee mjadala ni ujio wa rais wa awamu ya tano Edward Lowassa.
Chato ya ukawa ina miembe!!!Magufuli kweli hamuwezi lowassa. Leo hakufikisha hata nusu ya watu hawa. Uwanja ulikuwa una mapengo mengi. Kama ameshindwa nyumbani Basi tena
Baada ya Edward Lowassa kusifiwa na rais Magufuli kuwa ni Superman, namdurufu kidogo Lowassa kwa kujikumbusha niliwahi kusema nini kuhusu mtu huyu.Japo ni kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, lakini mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
Pasco