YAKUTA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 405
- 168
kwa upuuuzi huu ulioanza ni bora mtu ukatumia muda wako kwenye majukwaa ya mapenzi na mahusiano utoe stress,kuliko upuuzi huu.
yaani wajumbe wako 10 alafu kura zipigwe ziwe 12.hizo mbili zimekuja kwa mazingaumbwe au uwezo wa roho mtakatifu?. hii ni headache.
wajumbe wapo 629 na waliokuwepo bungeni wakati wa kupiga kura walikuwa 500+ Kwa hyo inawezekana wajumbe wengine walikuwa wa nje wakati wa kuhesabiwa na upigaji kura that why ukatokea huo mkanganyiko.