MTRANSPARENT
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 740
- 204
kwa kiasi gan lowasa anakubalika kiasi kwamba afike nakupewa urais bila kupingwa ndan ya ukawa!? Inamaana asngekuja hakuna ambaye angechukua fom CDM? km anadai ccm hakuna demokrasia kwa kutoa majina matano mfukon, je cdm wametoa jina moja tu ndo kunàdemokrasia? au kwakua kawekwa yeye? Je mkutano mkuu wa leo unakaz gan?