Yaliyojiri ACT-Wazalendo huko Kigoma

Yaliyojiri ACT-Wazalendo huko Kigoma

Ninasikitika kwamba jimbo la kigoma mjini chadema watashinda..... Hii imetokana na utafiti uliofanywa na Gft....

Imeoneshwa kwamba jimbo hilo siasa zinaendeshwa kidini... Hapa namaanisha kwamba kura za Kaburu (ccm) ambaye ni mwislam na ndugu yangu Zitto hazitaongezeka.... Zinabeba zaidi kura za mwandiga na Ujiji....

Sasa kuna huyu anayeitwa Daniel ...Mwanasheria... Anaonekana kuungwa mkono na wana chadema...wana ccm...na wasio kuwa na vyama...huyu ndiye atakaye kuwa mbunge wa kigoma mjini

Zitto jambo linalomghalimu ni ile hali ya kuhama jimbo ...zitto hasemi ni kwa nini amehama jimbo lake la kale....

Tusubiri

Hiki unachosema nimesikia kwa kiongozi mmoja wa dini ya kikristo
 
Zitto ww ni mwanasiasa. Ww si kamanda bali jemedari. Keep it up. Ipo siku naamini Ikulu itakuhusu. I will join you sooon.
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha. Bila unafiki ACT kimeanza vizuri kuliko vyama vikubwa vya sasa. Tuwe tunakumbuka kurejea historia ili kujua tunapokwenda.

Tukiacha ushabiki ni kweli hiki chama kimeanza vizuri kuliko vyama vingi hata chadema haikuanza hivi tatizo ni kwamba waanzilishi wa chama hiki watafanya kisikue kwa kasi iliyoanza nayo pale tu kitakapo jikita kukitangaza kuwa ni cha wanakigoma.
kama mwanzilishi wake anavyo kitanabaisha kuwa ni cha wanakigoma.
 
Ninasikitika kwamba jimbo la kigoma mjini chadema watashinda..... Hii imetokana na utafiti uliofanywa na Gft....

Imeoneshwa kwamba jimbo hilo siasa zinaendeshwa kidini... Hapa namaanisha kwamba kura za Kaburu (ccm) ambaye ni mwislam na ndugu yangu Zitto hazitaongezeka.... Zinabeba zaidi kura za mwandiga na Ujiji....

Sasa kuna huyu anayeitwa Daniel ...Mwanasheria... Anaonekana kuungwa mkono na wana chadema...wana ccm...na wasio kuwa na vyama...huyu ndiye atakaye kuwa mbunge wa kigoma mjini

Zitto jambo linalomghalimu ni ile hali ya kuhama jimbo ...zitto hasemi ni kwa nini amehama jimbo lake la kale....

Tusubiri

Zitto akianguka itakuwa ni anguko kuu la ACT
 
Hao wagombea wote wanapokea mshahara ccm wapo kwa ajili ya kupunguza kura za ukawa nawaambia hv watu wameamka jamani
 
ACT inajikosesha idadi kubwa ya wanachama kwa Kuikandia UKAWA hii inafanya ionekane kama Act ni vibaraka. Kipindi Mbowe ana ifufua Chadema mwaka 2005 akitumia Choppa hakuwa akiiponda CUF, NCCR wala TLP na hii ili muongezea credit na wananchi wakaiamini na kuipenda Chadema.
 
ACT-Wazalendo.....mzarau mwiba mguu huota tende.....wacha watu wawadharau.....wakitahamaki tayari chama kitakua chama kikuu cha upinzani
 
Ninasikitika kwamba jimbo la kigoma mjini chadema watashinda..... Hii imetokana na utafiti uliofanywa na Gft....

Imeoneshwa kwamba jimbo hilo siasa zinaendeshwa kidini... Hapa namaanisha kwamba kura za Kaburu (ccm) ambaye ni mwislam na ndugu yangu Zitto hazitaongezeka.... Zinabeba zaidi kura za mwandiga na Ujiji....

Sasa kuna huyu anayeitwa Daniel ...Mwanasheria... Anaonekana kuungwa mkono na wana chadema...wana ccm...na wasio kuwa na vyama...huyu ndiye atakaye kuwa mbunge wa kigoma mjini

Zitto jambo linalomghalimu ni ile hali ya kuhama jimbo ...zitto hasemi ni kwa nini amehama jimbo lake la kale....

Tusubiri

So useme tu imeifanyia research yako Machame?kwa Kigoma Zitto ni Mwami,kati ya majimbo ambayo mshindi anajulikana ni Kigoma Mjini
 
Eti Zitto awe Rais. You must be out of your mind.
 
Zitto ww ni mwanasiasa. Ww si kamanda bali jemedari. Keep it up. Ipo siku naamini Ikulu itakuhusu. I will join you sooon.

Na mimi nitamjoin huyu jamaa sina ushabiki maandazi wa siasa ila nitakuwa kwa Zitto
 
So useme tu imeifanyia research yako Machame?kwa Kigoma Zitto ni Mwami,kati ya majimbo ambayo mshindi anajulikana ni Kigoma Mjini
Kigoma mjini pagumu ukijua hilo itakusaidia kwa sababu hata Zitto hana uhakika he is very frustrated
 
Na mimi nitamjoin huyu jamaa sina ushabiki maandazi wa siasa ila nitakuwa kwa Zitto
kwa kwa ushabiki kiazi huo sasa ukikataa maandazi basi unona bora uwe shabiki kiazi zitto anatuhela twa CCM sasa
 
Big up Zitto,ipo siku hao vijana vilaza waliokufanyia fitina huko wakaja kuomba namba ACT.

Time will tell.

Kuna vyama wakijaza hata kakiwanja ka basketball wanatamba eti wameshashinda ubunge or urais.

Watu wanaojaa kusikiliza siyo kwamba wote ni wafuasi wako,wengine huenda kusikiliza tu ili wafanye maamuzi na wengine tayari wana maamuzi yao ila huenda tu kukuinjoi.

So kusubiri judgment day.
 
Back
Top Bottom