Sio chama mbona kimesajiliwa..na taarifa yako kilipata usajil wa kudum sinc last year...ww kwa ajil yako ndogo chama ni kip? wapate ruzuku kwan walishashirik uchaguz mkuu ganwakipata wabunge ata mmoja apo ndipo unaweza ukasema ni chama ila kwa sasa icho sio chama ni kama washabiki ambao wanawaangalia wakimbiaji
Sasa mafuriko hayo unaweza kufananisha na Yale ya Edo the boss???
Ikitokea Zitto apate wabunge 3 ,halafu pia itokee Dr Slaa kwa hasira alizonazo ahamie ACT,pamoja na Lipumba.
Zitto atasumbua kwenye urais come 2020.
Ninasikitika kwamba jimbo la kigoma mjini chadema watashinda..... Hii imetokana na utafiti uliofanywa na Gft....
Imeoneshwa kwamba jimbo hilo siasa zinaendeshwa kidini... Hapa namaanisha kwamba kura za Kaburu (ccm) ambaye ni mwislam na ndugu yangu Zitto hazitaongezeka.... Zinabeba zaidi kura za mwandiga na Ujiji....
Sasa kuna huyu anayeitwa Daniel ...Mwanasheria... Anaonekana kuungwa mkono na wana chadema...wana ccm...na wasio kuwa na vyama...huyu ndiye atakaye kuwa mbunge wa kigoma mjini
Zitto jambo linalomghalimu ni ile hali ya kuhama jimbo ...zitto hasemi ni kwa nini amehama jimbo lake la kale....
Tusubiri
Ninasikitika kwamba jimbo la kigoma mjini chadema watashinda..... Hii imetokana na utafiti uliofanywa na Gft....
Imeoneshwa kwamba jimbo hilo siasa zinaendeshwa kidini... Hapa namaanisha kwamba kura za Kaburu (ccm) ambaye ni mwislam na ndugu yangu Zitto hazitaongezeka.... Zinabeba zaidi kura za mwandiga na Ujiji....
Sasa kuna huyu anayeitwa Daniel ...Mwanasheria... Anaonekana kuungwa mkono na wana chadema...wana ccm...na wasio kuwa na vyama...huyu ndiye atakaye kuwa mbunge wa kigoma mjini
Zitto jambo linalomghalimu ni ile hali ya kuhama jimbo ...zitto hasemi ni kwa nini amehama jimbo lake la kale....
Tusubiri