Yaliyo nikuta kwenye daladala

Yaliyo nikuta kwenye daladala

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,146
Reaction score
7,676
Habari

Ipo hivi jana nilikuwa nimetoka zangu kinondoni narudi home kimara- suka nilipofika usalama nikaanza kutafuta daladala ya kwenda suka kama ww mwenyeji wa dar utakuwa unajua usafiri wa kwenda mbezi usiku unavosumbua sijazoea kugombania daladala lakini baada ya kukaa sa 1kituoni bila kupata gari ikabidi nikubaliane na hali halisi ya kugombania,ikaja daladala ambayo ilikuwa inaishia suka ndipo nilipo amua kuingia hvyo hvyo bila kujali.

Kiukweli tulikuwa tumebanana sana hakkuwa na namna sababu ilikuwa kama sa 2 usiku inaenda sa 3 nilisimama usawa wa kiti ambacho dada mmoja mweupe alikuwa kakaa hapo kwa jinsi tulivyo banana niliamua kugeukia kutazama dirisha sasa mkono mmoja ulipita juu ya kichwa cha yule dada na nikashika nguzo ya dirisha mkono wa kulia ukashika kiti kilicho kuwa mbele ya yule dada na hata gari ingedunda vipi nisingeweza kumgusa.

Nilizubaa mbele kumuangalia mzee mmoja ambae alikuwa na smartphone huawei kilicho fanya nizubae kuangalia ile simu ni kuwa yule mzee alikuwa kama wa miaka 55 hadi 60 hivi lakini nilishangaa kuona aki click JF application na kufika hadi kwenye jukwaa la MMU na kufungua.

Lakini nilishindwa kuona ni uzi gani aliufungua kwani nilishutuliwa na vibao viwili vya mkononi kutoka kwa yule dada na akanza kuongea we kaka vipi unataka kunitoboa macho utanizaa ukinifanya nikiwa kipofu alinifokea sana bila kuelewa kosa langu ni lipi na akanivyonza sana hata mama angu mzazi hajawahi nifokea vile abiria wote walishikwa na butwaa kuona yule dada alivyo kuwa akinifokea na kuongea maneno yasiyo na hekima nilipandwa sana na hasira nikashindwa kuongea hata sikumjibu kitu nilimwangalia usoni kama dakika 1 hivi nikajisema moyoni malipo ni hapa hapa duniani.

Ndipo abiria wakanza kumsema yule dada na kumuonya kuacha hiyo tabia

Yule mzee wa MMU alikuwa mstari wa mbele sana kumsema yule dada sijui anatumia ID gani humu ningemtaja lakini bila shaka huu uzi anausoma na atakuwa shahidi wa kile kilicho tokea na kuja kushuhudia hapa nilipenda san alivyo mpa makavu yule dada lengo langu lilikuwa ni kufika manzese nishuke kwa hasira nilizo kuwa nazo lakini sikushuka kwa jinsi abiria walivyo mshambulia yule dada akiwepo mzee wetu wa humi MMU nilimsikia akisema ndo maana yeye kamua kumuozesha binti yake kwa laki 2 kwasababu ya tabia za ajabu za akina dada walizo nazo na kuhofia isije siku wakachana afu akashindwa kurudisha mahali.

Mzee najua unanisikia please njoo uwe shahidi wa haya bahati mbaya kimara mwisho yule mzee alishuka.

Inaniuma sana kwa alichonifanyia yule dada sitamsahau leo hadi kesho kwanini anifanyie vile mm binadamu mwenzake,mimi nilimkosea nini kama alikuwa hataki kubanwa kwanini alipanda daladala ni kujiona au nini inaniuma sana nyie akina dada sijui nani ali walaani.

Eeeh Mungu baba msamehe kwani halijui alitendalo
 
pole sana!ndo dunia yetu hii imejaa watu kwa maumbile ya nje lakini vichwani ni zaidi ya wanyama.
 
Pole sana Mpwa wangu ila ungetenganisha hizi story ingekuwa poa sana. Naona ya huyu dada hujaipa coverage nzuri
 
Ulitaka mchoma au mtoboa macho na nini?! Je ulikuwa na bisibisi kwenye mfuko wa shari au zile spoku za kuchomea mishkaki?!!
 
Nilijua mlivyobanana ukategeshewa mzigo maana hawa madada wanatupa mitihani sana ya maksudi kwenye madaladala.
 
Habari.....

Ipo hivi jana nilikuwa nimetoka zangu kinondoni narudi home kimara- suka
nilipofika usalama nikaanza kutafuta daladala ya kwenda suka kama ww
mwenyeji wa dar utakuwa unajua usafiri wa kwenda mbezi usiku unavosumbua
sijazoea kugombania daladala lakini baada ya kukaa sa 1kituoni bila
kupata gari ikabidi nikubaliane na hali halisi ya kugombania,ikaja
daladala ambayo ilikuwa inaishia suka ndipo nilipo amua kuingia hvyo
hvyo bila kujali

Kiukweli tulikuwa tumebanana sana hakkuwa na namna sababu ilikuwa kama
sa 2 usiku inaenda sa 3 nilisimama usawa wa kiti ambacho dada mmoja
mweupe alikuwa kakaa hapo kwa jinsi tulivyo banana niliamua kugeukia
kutazama dirisha sasa mkono mmoja ulipita juu ya kichwa cha yule dada na
nikashika nguzo ya dirisha mkono wa kulia ukashika kiti kilicho kuwa
mbele ya yule dada na hata gari ingedunda vipi nisingeweza kumgusa ....

Nilizubaa mbele kumuangalia mzee mmoja ambae alikuwa na smartphone
huawei kilicho fanya nizubae kuangalia ile simu ni kuwa yule mzee
alikuwa kama wa miaka 55 hadi 60 hivi lakini nilishangaa kuona aki click
JF application na kufika hadi kwenye jukwaa la MMU na kufungua

Lakini nilishindwa kuona ni uzi gani aliufungua kwani nilishutuliwa na
vibao viwili vya mkononi kutoka kwa yule dada na akanza kuongea we kaka
vipi unataka kunitoboa macho utanizaa ukinifanya nikiwa kipofu
alinifokea sana bila kuelewa kosa langu ni lipi na akanivyonza sana hata
mama angu mzazi hajawahi nifokea vile abiria wote walishikwa na butwaa
kuona yule dada alivyo kuwa akinifokea na kuongea maneno yasiyo na
hekima nilipandwa sana na hasira nikashindwa kuongea hata sikumjibu kitu
nilimwangalia usoni kama dakika 1 hivi nikajisema moyoni malipo ni hapa
hapa duniani,

Ndipo abiria wakanza kumsema yule dada na kumuonya kuacha hiyo tabia

Yule mzee wa MMU alikuwa mstari wa mbele sana kumsema yule dada sijui
anatumia ID gani humu ningemtaja lakini bila shaka huu uzi anausoma na
atakuwa shahidi wa kile kilicho tokea na kuja kushuhudia hapa nilipenda
san alivyo mpa makavu yule dada lengo langu lilikuwa ni kufika manzese
nishuke kwa hasira nilizo kuwa nazo lakini sikushuka kwa jinsi abiria
walivyo mshambulia yule dada akiwepo mzee wetu wa humi MMU nilimsikia
akisema ndo maana yeye kamua kumuozesha binti yake kwa laki 2 kwasababu
ya tabia za ajabu za akina dada walizo nazo na kuhofia isije siku
wakachana afu akashindwa kurudisha mahali

Mzee najua unanisikia plz njoo uwe shahidi wa haya bahati mbaya kimara
mwisho yule mzee alishuka

Inaniuma sana kwa alichonifanyia yule dada sitamsahau leo hadi kesho
kwanini anifanyie vile mm binadamu mwenzake,mimi nilimkosea nini kama
alikuwa hataki kubanwa kwanini alipanda daladala ni kujiona au nini
inaniuma sana nyie akina dada sijui nani ali walaani

Eeeh Mungu baba msamehe kwani halijui alitendalo

watu kuto tofauti mm mara nying nikiingiaga dala dala ilo jaa mfano mm nina siti utaskia dada njo nikupakate mm nikae na kweli so kaka jua watu wengune visilan tuu
 
'wana lamba lamba kooni watoto wa mama' ,,

sijui chege alimaanisha nini hii line?
 
Pole sana Mpwa wangu ila ungetenganisha hizi story ingekuwa poa sana. Naona ya huyu dada hujaipa coverage nzuri

Sawa mkuu hata hvyo nimeandika nikiwa na hasira sana kila maneno alio niambia yakinijia
 
Back
Top Bottom