Yaliyo moyoni mwa Kikwete kuhusu Muhongo

Yaliyo moyoni mwa Kikwete kuhusu Muhongo

Kiukweli Prof Muongo amefika mwisho, hataaminika tena. Hakuna chuo kikuu kitakachompokea wala mashirika ya kimataifa kwa vile amenyea kazi ya uwaziri. CV ya Muhongo kwishney. Salama yake ni ndani ya sisiem masilahi tu. Usishangae hata ubalozi asipokelewe na nchi atakayopelekwa, labda Somalia na vijiinchi vyenye sifa kama hizo
Atapokelewa China, kama balozi mpya nchini humo, huko watampokea tu.

Si unajua nchi hiyo imewekeana saini mikataba ya gesi na serikali ya nchi yetu, ambayo wameifanya ni SIRI kubwa, ambayo Muhongo alikataa hata wabunge, ambao ni wawakilishi wa wananchi wasiione?!
 
hatuwezi kumtoa mhongo eti sababu ya mengi na mkono wao nani nchi hii mtaimba sana mtaandika sana mtachomeka sana mhongo na pinda hawatoki
 
mlivyomuandama Muhongo utadhani yuko peke yake kwenye huu msala
 
Atapokelewa China, kama balozi mpya nchini humo, huko watampokea tu, si unajua nchi hiyo imewekeana saini mikataba ya gesi ambayo ni SIRI kubwa, ambayo Muhongo alikataa hata wabunge, ambao ni wawakilishi wa wananchi wasiione!

Yap, kweli kabisa, china ni majizi lama sisiem. Ndio maana wakaona watunuku cheo cha u prof baada ya kuona aliyoyafanya muheshimiwa. Ni sawa na shetani kumwona binadamu ni mubaya kuliko yeye shetani, yaani anafanya hata zaidi ya shetani
 
Umejitahidi kwakweli.

Hapa shida nikwamba,MUHONGO kama MUHONGO hakuwa na tatizo kimsingi ktk issue ya ESCROW zaid ya hiana za mahasimu wake binafsi kina MENGI ,MBOWE e.t.c.

Pia,jamaa alikuwa na shavh lake kubwa tu huko UNESCO . Sasa J.K akipima upepo huo,lazima amiksiwe kwakweli. hata ungekuwa wewe.

Mbona umesahau kuwataja Anna Makinda aliyesimamia upitishwaji wa maazimio ya Bunge pia na Pinda aliyetoa kauli ya kuwa serikali itatekeleza hayo maazimio yote?
 
Great thinker.

Even greater thinker

Atapokelewa China, kama balozi mpya nchini humo, huko watampokea tu.

Si unajua nchi hiyo imewekeana saini mikataba ya gesi na serikali ya nchi yetu, ambayo wameifanya ni SIRI kubwa, ambayo Muhongo alikataa hata wabunge, ambao ni wawakilishi wa wananchi wasiione?!
 
Huyu salaly sleep yuko so commited kwenye ishu hii,i wonder why?
 
Okey! Kumbe unakiri wizi ulikuwepo na walioshiriki ni watendaji! Sasa ina maana Muhongo hana uwezo wa kuzuia wizi katika wizara yake? Na mbona kuna ushahidi wa barua zake mwenyewe akiruhusu mzigo utoke? Vipi kuhusu kupungua kwa mgao wa umeme, mbona hapa tunaambiwa ni yeye kaupunguza na wala watendaji wake hawatajwi?
Wizi sidhani kama upo,ni majungu tu.
 
Hapo wametumia principal estimations tu kama walivokuwa wameziremba kwa WAZIRI MKUU.

Kimsingi,walioshiriki zaid ni watendaji. sio kina Muhongo/Pinda.

Watendaji ndio walohusika. Si muhongo.

Report ya PAC na CAG zinaonesha yeye ndio alikua dalali wa IPTL to PAP, tusipende kukariri saa zote kwamba eti makosa yamefanywa na watendaji.
 
!Politics Is Dirty Game ... jumlisha toa .. zidisha ..piga hesabu yeyote

Muhongo Ataisambaratisha Serekali ..Must GO. !!
 
Mbona tunaambiwa 50% ya Co PAP inamilikiwa na familia ya mkulu!!
Brela wana record za wamiliki wa
PAP!!
Kwa hiyo Muhongo akasimamia uuzaji wa hisa za IPTL kwa PAP kwa makusudi ya kutuibia!!
Wezi wakubwa jao!!
 
umejitahidi kwakweli.

Hapa shida nikwamba,muhongo kama muhongo hakuwa na tatizo kimsingi ktk issue ya escrow zaid ya hiana za mahasimu wake binafsi kina mengi ,mbowe e.t.c.

Pia,jamaa alikuwa na shavh lake kubwa tu huko unesco . Sasa j.k akipima upepo huo,lazima amiksiwe kwakweli. Hata ungekuwa wewe.

umemnukuu vibaya mleta uzi!.
 
Back
Top Bottom