Yaliyo moyoni mwa Kikwete kuhusu Muhongo

Yaliyo moyoni mwa Kikwete kuhusu Muhongo

Rushwa na ufisadi ndio kiini cha haya. Mafisadi wamejiingiza maeneo nyetibna muhimu ya uchumi wa nchi
 
Hapo wametumia principal estimations tu kama walivokuwa wameziremba kwa WAZIRI MKUU.

Kimsingi,walioshiriki zaid ni watendaji. sio kina Muhongo/Pinda.

Watendaji ndio walohusika. Si muhongo.

Kama hakuhusika tungeona hatua alizochukua dhidi ya wahusika. Kutokuchukua hatua dhidi ya wahusika, hata kukemea tu ni uthibitisho usio na shaka yoyote kwamba yeye ni mshiriki na uzito mkubwa unaongezwa kwa kutetea ufisadi huo.
 
alilofanya Kikwete kama ni kweli usemavyo ni miongoni mwa makosa aliyoyasema Mw. Nyerere kabla ajafa
 
hatuwezi kumtoa mhongo eti sababu ya mengi na mkono wao nani nchi hii mtaimba sana mtaandika sana mtachomeka sana mhongo na pinda hawatoki
Wewe nani wewe ?hii nchi sio ya mama yenu ...
 
Hapo wametumia principal estimations tu kama walivokuwa wameziremba kwa WAZIRI MKUU.

Kimsingi,walioshiriki zaid ni watendaji. sio kina Muhongo/Pinda.

Watendaji ndio walohusika. Si muhongo.

Ushawahi kuperembwa!!
 
Back
Top Bottom