frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
Habari wadau?
Katika wiki hii yametokea mengi sana kama kuzuia maandamano ya CUF , sekeseke la Amboni Tanga ndio habari ya mjini sasa, Mh. Wassira kuvaa koti vibaya n.k ambayo kimsingi yamefunika issue kubwa za kitaifa, kama mahakama ya kadhi, katiba na maandamamo mbalimbali n.k
Ili tuendelea kuyakumbuka yaliosahaulika tuyaweke hapa tena.
Katika wiki hii yametokea mengi sana kama kuzuia maandamano ya CUF , sekeseke la Amboni Tanga ndio habari ya mjini sasa, Mh. Wassira kuvaa koti vibaya n.k ambayo kimsingi yamefunika issue kubwa za kitaifa, kama mahakama ya kadhi, katiba na maandamamo mbalimbali n.k
Ili tuendelea kuyakumbuka yaliosahaulika tuyaweke hapa tena.