Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 5,131
- 8,359
Mkaushie kama kawiki ka moja hivi..uone response yake
najua una uamz unaotamn kuutekeleza lakn unahis kuacha kovu kumbwa katka moyo wako,kiukweli atakuwa na mtu mwingne.
Chakufanya mwambie akuweke waz then uchukue hamsin zako.
Na kweli mkuu. Jamaa keshaingia chaka teyari.Kosa la kwanza ni kumtongoza mara ya pili
kosa la pili utalifanya endapo ukimuoa