Mafweza ze don
Senior Member
- Feb 9, 2013
- 148
- 182
Habari zenu wana JF,
Bila kupoteza wakati ningependa moja kwa moja niende kwenye swala linalo nisumbua kwa wakati huu nikihitaji ushauri na msaada wa mawazo kutoka.
Kuna binti ambaye ni mpenzi wangu ila mpaka sasa siamini kama ni wangu tena nmekua nae kwenye mahusiano kw mda wa miezi 7 sasa na kwamuda wote huo nilijitahidi kumfanyia kila anacho taka bila kujali chochote kabla yakua nae kwanza alisha nitoleaga nje kama miaka 4 iliopita.
Lakini mwisho wake nlifanikiwa kuteka moyo wake na nikasema i'll never let her goo but sasa naona kauli yangu inanizidi nguvu yeye anakaa kwake na mimi kwangu ila siku hizi kila ikifika mda wa saa mbili usiku nikimpigia mara asipoke kama jana ndo kabisa hadi akaizima lakini ikifika saa nne anakua available.
Sasa jana akaniambia simu ilikua on labda tatizo ni network nikimbana vizuri anakujaa juu anakua mkali na ananikatia simu na uwezo wakuonana nae sina sababu tumetengana kidogo mikoa ila ni kikazi namipango yetu ilikua ni kufunga ndoa baada ya muda kidogo ila ndo hivo mrembo ameanza kubadilika.
Jambo hili laniumiza kichwa sana naombeni ushauri wenu ndugu zangu
HUYU MTU ANANIA NJEMA KWELI NA MIMI?
Bila kupoteza wakati ningependa moja kwa moja niende kwenye swala linalo nisumbua kwa wakati huu nikihitaji ushauri na msaada wa mawazo kutoka.
Kuna binti ambaye ni mpenzi wangu ila mpaka sasa siamini kama ni wangu tena nmekua nae kwenye mahusiano kw mda wa miezi 7 sasa na kwamuda wote huo nilijitahidi kumfanyia kila anacho taka bila kujali chochote kabla yakua nae kwanza alisha nitoleaga nje kama miaka 4 iliopita.
Lakini mwisho wake nlifanikiwa kuteka moyo wake na nikasema i'll never let her goo but sasa naona kauli yangu inanizidi nguvu yeye anakaa kwake na mimi kwangu ila siku hizi kila ikifika mda wa saa mbili usiku nikimpigia mara asipoke kama jana ndo kabisa hadi akaizima lakini ikifika saa nne anakua available.
Sasa jana akaniambia simu ilikua on labda tatizo ni network nikimbana vizuri anakujaa juu anakua mkali na ananikatia simu na uwezo wakuonana nae sina sababu tumetengana kidogo mikoa ila ni kikazi namipango yetu ilikua ni kufunga ndoa baada ya muda kidogo ila ndo hivo mrembo ameanza kubadilika.
Jambo hili laniumiza kichwa sana naombeni ushauri wenu ndugu zangu
HUYU MTU ANANIA NJEMA KWELI NA MIMI?