Yale mavitu yetu ya ukweli nimeipata

Aaaah tehe tehe teeh.........!!!!! ebu tuyaone hayo madude ewe kijana coz kelele zimezidi humu jamvini.
mimi ninayo mwenye kutaka achukue hayo hapo chini akafanye 2ition kama hujui wanafanyaje fanyaje kaa pembeni maswali maswali sitaki.


41.73.226.99
 
wakubwa katika pita pita zangu nimeotea yale madude yetu na iko poa ina stream u tube mbayaaaaaaa ila ntampa mtu ninae mwaminiiii au vipi wakuuuu....


then mwenye site ya kudownload muvi through idm kwa haya mavitu ayatupie hapa au ani inbox itakua poaa haya sasa ninaemuamini ntampa ila ntasikiliza na ushauri wenu

mavitu gani hayo msaada plz
 
Aha vizuri, kaka vipi resume capability inakubali kenye idm? mtu atakaenipa haya madude yenye kukubali resume ntamshukuru kweli.. pokea like iyo kutoka kwangu
 
Aha vizuri, kaka vipi resume capability inakubali kenye idm? mtu atakaenipa haya madude yenye kukubali resume ntamshukuru kweli.. pokea like iyo kutoka kwangu
 
mavitu gani hayo msaada plz
Join Date : 3rd August 2012
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received:0
Likes Given:0

Aha vizuri, kaka vipi resume capability inakubali kenye idm? mtu atakaenipa haya madude yenye kukubali resume ntamshukuru kweli.. pokea like iyo kutoka kwangu


Join Date : 2nd June 2012
Posts : 4
Rep Power : 0
Likes Received:0
Likes Given:1

HERI MIMI SIJASEMA!

NYIE VILAZA WENZANGU MTABAKI KUSUGUA BENCHI COZ SIDHANI KAMA MTAAMINIKA KUPEWA HAYO MADUDE NA SAMRICH1 (MTOA MADA)
 
Hodi wadau!!! Loong tyme ago nilikuwa maporini so nimepotea kabisa humu forum.
Juzi juzi ndiyo nimerudi tena humu duniani naona mambo yamebadilika forum nalo limependeza kweli kweli alafu limechangamka tofauti na kipindi kile.
Je mzee mwanakijiji, Kichuguu na zizikavu bado wamo humu naomba wanipokee nimerudi ki moja
Sasa tukirudi kwenye mada naomba Mnijulishe ni mavitu gani yanaongelewa? maana lugha ni yandani ndani kabisa.
 
Ama kweli madude.
Join date: 2nd may 2012
likes received:36
reply power:?
Likes gvn:0
je kweli nitayafahamu madude? Sina budi kukaa kimYA
 
Back
Top Bottom