Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
heeeee vijana,mnafanya nini hapa?huko pm mnapokutana ndio wapi?mnapeana nini?bangwi au mirungwi?mnachezea geshi la polish enhe?haya haya haya wote under arrest miguu juu!
Ameolewa huyo binti yako!?Dah nilikuwa najiuliza vijana wanazungumziya madude gani???
Nikagundua kumbe ni kitu kinachoitwa "proxy"!!
Uzuri ni kwamba kuna Binti yangu anaye bukua chuo fulani New Delhi kule kwa Magabachori aliwahi kunifundisha haya maujanja na ndiyo nayotumiya siku zote nilizopo mjini.
Ninazo nyingi Xana ila tatizo nyingi haziwezi kufungua secure website kama yahooo na nyinginezo.
Kwavile nimegundua mwendo unaotumika humu maskani ni wa kunong'onezana basi nami naweza kusaidiya ila watakaoni PM wajue setting wao wenyewe mie natoa tarakimu tu ila kabla ya yote niwasikilize kwanza wenyeji wa umu wanasemaje?
Maujanja ni kwaajili ya wajanja tu so kama wewe siyo mjanja huwezi kupewa maujanja!!
Kukuruka kijana uweze kuwa mjanja......!!!!
sema hatuaminiani mkuu
TATIZO TUKIWAPA VIJNA MAUJANJA wanaanza KUBWABWAJA HADI KULE FACEBOOK,
NIKO NAPIGA HOMEWORK FLANI HIVI SO VIJANA KAENI MKAO WAKULA
Ukiona huaminiki jua kua haujakidhi viwango vya kuaminiwa!!
xaaafi nami pia niko kwenye homework
Ameolewa huyo binti yako!?
Kama hajaolewa, senior bachelor mwenzake nipo namsubiri!.
(Just Joking) Take it easy :lol:
sema hatuaminiani mkuu