MWANAWAVITTO
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 258
- 220
Naombeni mniambie yale MAGARI YA MAHINDRA yaliyogawanywa nchi nzima kwenye ofisi za ccm takribani magari 400, yalikwenda wapi?
Nakumbuka DR SLAA aliyataja kuwa ni Miongoni mwa FEDHA za EPA zilizoibiwa.
Nakumbuka DR SLAA aliyataja kuwa ni Miongoni mwa FEDHA za EPA zilizoibiwa.