Yale Magari ya Mahindra ya CCM yalikwenda wapi?

MWANAWAVITTO

JF-Expert Member
Dec 2, 2011
258
220
Naombeni mniambie yale MAGARI YA MAHINDRA yaliyogawanywa nchi nzima kwenye ofisi za ccm takribani magari 400, yalikwenda wapi?

Nakumbuka DR SLAA aliyataja kuwa ni Miongoni mwa FEDHA za EPA zilizoibiwa.
 
Mkuu baadhi yamekufa na mengine bado yanasuasua. Kwa wale wanaoishi karibu na vigogo wa magamba yumkini watakuwa wameyaona yakiendeshwa na "shamba boys" kwa ajili ya kubebea nyasi za mifugo na mashudu au pumba za nguruwe na kuku. In short wamegawana wenyewe kwa wenyewe kwa ajili ya matumizi hayo.
 
Naombeni mniambie yale MAGARI YA MAHINDRA yaliyogawanywa nchi nzima kwenye ofisi za ccm takribani magari 400, yalikwenda wapi?

Nakumbuka DR SLAA aliyataja kuwa ni Miongoni mwa FEDHA za EPA zilizoibiwa.
Kuhoji mambo ni uchochezi kaa kimya yasikukute
 
Hahahaha kizazi Cha watu waoga kilikufa siku Lissu alipigwa risasi
By the way nimeipenda Terminology yako mkuu
 
Naombeni mniambie yale MAGARI YA MAHINDRA yaliyogawanywa nchi nzima kwenye ofisi za ccm takribani magari 400, yalikwenda wapi?

Nakumbuka DR SLAA aliyataja kuwa ni Miongoni mwa FEDHA za EPA zilizoibiwa.
Silaha kapata ubalozi hawezikukumbuka tena mambo ya epa
 
Naombeni mniambie yale MAGARI YA MAHINDRA yaliyogawanywa nchi nzima kwenye ofisi za ccm takribani magari 400, yalikwenda wapi?

Nakumbuka DR SLAA aliyataja kuwa ni Miongoni mwa FEDHA za EPA zilizoibiwa.

Yalichakaa...Mengi walipewa makatibuwa wa mikoa lakini ilithibitika kuwa yalikuwana body imara lakini siyo engine na parts nyingine...halafu hata matumizi yalikuwa siyo mazuri...ukienda kwenye ofisinyingi za mikoa za CCM magori hayo mengi utayakuta 'yamelala'...
 
Naombeni mniambie yale MAGARI YA MAHINDRA yaliyogawanywa nchi nzima kwenye ofisi za ccm takribani magari 400, yalikwenda wapi?

Nakumbuka DR SLAA aliyataja kuwa ni Miongoni mwa FEDHA za EPA zilizoibiwa.

Sasa hivi ukimwambia Dr. Slaa akueleze kuhusu hicho alichosema atasema walimnukuu vibaya. Hao wahuni walionunua hayo magari mabovu ndio walionunua yale matractor ya power tiller.
 
Mkuu umenikumbusha vichwa vyetu vya treni, hivi vilirudishwa?
Rafiki, havijarudishwa...Walioviagiza wengine wakaambiwa WAMELETA Vichwa vya Tureni (Halafu ikasemwa HAWAJULIKANI). Mara ikaibuka hoja eti vitakuwa vya Tureni ya MWENDO KASI hadi Idodomya! Inji hii haaiishi viroja!
 
Back
Top Bottom