environmental
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,054
- 137
Ndoto nyingi za waliozoea kupata mapande katika keki ya taifa ilikuwa kujikomba kwa CCM walifungua matawi ya ccm miji Mikubwa Duniani ikiwa ni kama chanzo cha kujionyesha kwama wanafanya shughuli za kichama. leo hii na madudi yote ya CCM sijui wamejificha wapi , mhamasiko wao umepungua kwa kasi ya ajabu. Sijui mwana CCM jasiri aniambie anajivunia nini na chama Chake? Wengi waliamini ili upate ubunge ni vema uingie CCM lakini wawaulize majeruhi wa CCM kama Lawrence Masha. mageuzi tanzania ilikuwa safari ndefu lakini imewezekana wako walio simamia hilo mda mrefu na wala hawajawahi kununulika, kuna waliofika bei kama Lamwai, Kaborou, Makongoro. Ila ukweli ni kuwa kama haya mageuzi yanakuuma wewe utakuwa mnyonya damu,