TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Ni:
1."Nchi yangu,kwa umoja,amani na maendeleo yake nitaifia kwanza,iwe sahihi au imeboronga."
au
2."Chama changu na kikundi chetu nitakifia kwanza,kiwe sahihi au kina sera zilizochakachuliwa au neno moja jukwaani."
????
1."Nchi yangu,kwa umoja,amani na maendeleo yake nitaifia kwanza,iwe sahihi au imeboronga."
au
2."Chama changu na kikundi chetu nitakifia kwanza,kiwe sahihi au kina sera zilizochakachuliwa au neno moja jukwaani."
????