Yajue mambo 5 ya kushangaza kwenye simu yako ya Android

Hiyo isikupe shida Sana we fanya kuchagua animation off tu zote kuongeza Kasi
Na hizi pia niweke off? Nimekuta zimejiselect zenyewe. Na kazi yake nini hasa kwenye simu?View attachment 1469156
Screenshot_20200605-093102_Settings.jpg
 
Na kwa wale watumiaji wa infinix msisahau ulinzi ukizidi unajitengenezea Bomu kuna app ya phone master ukiiweka ikulindie sms haina uwezo simu ikiwa locked ukaiswipe kama unawasha data utakuta kuna sehemu inaonesha txt zote japo kwa kifupi ila hata ufute kwenye inbox utazikuta huko
Android zote kuanzia Android 8-10
 
mkuu weka off mm nimeijalibu simu imekuwa nyepesi mnooo Sema hatujui side effects za kuweka off nn kina tokea
Hiyo haina madhara yoyote ni kwamba zile movement zinazotokea wakat unapo quit,au unapo run application flan sasa speed yake hapo ndo unaicontrol jinsi unavozidi kuongeza speed ya animation(maana yake ile animation inazdii kuonekana) kwahyo ukifungua lbd app fln utaona jns inavokua na ukipunguza speed unafanya ile animation inaonkan kidogo/kwa mbali kwahyo ww utaona ile app imewah kufunguka na ukiweka off kbsa ile animation inakua haipo na hyo setting ya developer ni mojawpo ya option iliyozuiliwa coz sio kila mtu atahtaji ndio maana wameruhusu uwez kui access kama ru utaamua kua developer, kwa maana nyingine n sawa na simu iliyokua rooted kwamba baadhi ya option android wamezizuia kwahyo wakaweka na ruhusa ya kuweza kuzipata izo option

So, haina shida ukitaka kuielewa zaid jarbu ku set 2 au 5 au urud nyuma ufungue baadhi ya apps uone zinavofunguka af rudi set 1 au 0.5 au off kbsa utaweza kuona mabadliko yatayokufanya uielewe iyo option ya animation scale vzr
 
Hiyo haina madhara yoyote ni kwamba zile movement zinazotokea wakat unapo quit,au unapo run application flan sasa speed yake hapo ndo unaicontrol jinsi unavozidi kuongeza speed ya animation(maana yake ile animation inazdii kuonekana) kwahyo ukifungua lbd app fln utaona jns inavokua na ukipunguza speed unafanya ile animation inaonkan kidogo/kwa mbali kwahyo ww utaona ile app imewah kufunguka na ukiweka off kbsa ile animation inakua haipo na hyo setting ya developer ni mojawpo ya option iliyozuiliwa coz sio kila mtu atahtaji ndio maana wameruhusu uwez kui access kama ru utaamua kua developer, kwa maana nyingine n sawa na simu iliyokua rooted kwamba baadhi ya option android wamezizuia kwahyo wakaweka na ruhusa ya kuweza kuzipata izo option

So, haina shida ukitaka kuielewa zaid jarbu ku set 2 au 5 au urud nyuma ufungue baadhi ya apps uone zinavofunguka af rudi set 1 au 0.5 au off kbsa utaweza kuona mabadliko yatayokufanya uielewe iyo option ya animation scale vzr
Safi sana nimekupata mzee
 
Subscribed,
Macho zangu sahii hata hazioni mbele walaqhi', nitaikujia asubuhi hii..
 
Hiyo haina madhara yoyote ni kwamba zile movement zinazotokea wakat unapo quit,au unapo run application flan sasa speed yake hapo ndo unaicontrol jinsi unavozidi kuongeza speed ya animation(maana yake ile animation inazdii kuonekana) kwahyo ukifungua lbd app fln utaona jns inavokua na ukipunguza speed unafanya ile animation inaonkan kidogo/kwa mbali kwahyo ww utaona ile app imewah kufunguka na ukiweka off kbsa ile animation inakua haipo na hyo setting ya developer ni mojawpo ya option iliyozuiliwa coz sio kila mtu atahtaji ndio maana wameruhusu uwez kui access kama ru utaamua kua developer, kwa maana nyingine n sawa na simu iliyokua rooted kwamba baadhi ya option android wamezizuia kwahyo wakaweka na ruhusa ya kuweza kuzipata izo option

So, haina shida ukitaka kuielewa zaid jarbu ku set 2 au 5 au urud nyuma ufungue baadhi ya apps uone zinavofunguka af rudi set 1 au 0.5 au off kbsa utaweza kuona mabadliko yatayokufanya uielewe iyo option ya animation scale vzr
Hapa sasa ndiyo nimeelewa. Asante ndugu. Yule alieanzisha darasa ametokomea.
 
Back
Top Bottom