Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,726
- 5,442
Na hizi pia niweke off? Nimekuta zimejiselect zenyewe. Na kazi yake nini hasa kwenye simu?View attachment 1469156Hiyo isikupe shida Sana we fanya kuchagua animation off tu zote kuongeza Kasi
Na hizi pia niweke off? Nimekuta zimejiselect zenyewe. Na kazi yake nini hasa kwenye simu?View attachment 1469156Hiyo isikupe shida Sana we fanya kuchagua animation off tu zote kuongeza Kasi
me tooAkikujibu nitag
akikujib ni tagUfafanuzi tafadhali. Kwa hiyo nikiweka off, Sio ndiyo speed itakuwa ndogo zaidi? Kwa kuwa mwanzo ulishauri tuweke 0.5x ili kuongeza speed ya simu.
Mkuu mimi zote nimeweka kwenye .5x simu imekuwa fasta sanaa...asante sana mleta uziHii hapa screenshot View attachment 1469119
Na mm nataka niweke off ila kwanza atuambie nn kitatokeaNa hizi pia niweke off? Nimekuta zimejiselect zenyewe. Na kazi yake nini hasa kwenye simu?View attachment 1469156View attachment 1469157
kwanini lakini jamaa yangu!!!simu inapiga kazi kwa slow motionMkuu mimi zote nimeweka kwenye .5x simu imekuwa fasta sanaa...asante sana mleta uzi
Android zote kuanzia Android 8-10Na kwa wale watumiaji wa infinix msisahau ulinzi ukizidi unajitengenezea Bomu kuna app ya phone master ukiiweka ikulindie sms haina uwezo simu ikiwa locked ukaiswipe kama unawasha data utakuta kuna sehemu inaonesha txt zote japo kwa kifupi ila hata ufute kwenye inbox utazikuta huko
Unamaanisha yako inapiga gazi kwa slow motion ama sijakuelewa?kwanini lakini jamaa yangu!!!simu inapiga kazi kwa slow motion
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
mkuu weka off mm nimeijalibu simu imekuwa nyepesi mnooo Sema hatujui side effects za kuweka off nn kina tokeaNa hizi pia niweke off? Nimekuta zimejiselect zenyewe. Na kazi yake nini hasa kwenye simu?View attachment 1469156View attachment 1469157
Ok. Mtaalamu mwenyewe aliyeleta uzi ametokomea kusikojulikana. Angekuja atujibu haya maswali ili kuondoa sintofahamumkuu weka off mm nimeijalibu simu imekuwa nyepesi mnooo Sema hatujui side effects za kuweka off nn kina tokea
Hiyo haina madhara yoyote ni kwamba zile movement zinazotokea wakat unapo quit,au unapo run application flan sasa speed yake hapo ndo unaicontrol jinsi unavozidi kuongeza speed ya animation(maana yake ile animation inazdii kuonekana) kwahyo ukifungua lbd app fln utaona jns inavokua na ukipunguza speed unafanya ile animation inaonkan kidogo/kwa mbali kwahyo ww utaona ile app imewah kufunguka na ukiweka off kbsa ile animation inakua haipo na hyo setting ya developer ni mojawpo ya option iliyozuiliwa coz sio kila mtu atahtaji ndio maana wameruhusu uwez kui access kama ru utaamua kua developer, kwa maana nyingine n sawa na simu iliyokua rooted kwamba baadhi ya option android wamezizuia kwahyo wakaweka na ruhusa ya kuweza kuzipata izo optionmkuu weka off mm nimeijalibu simu imekuwa nyepesi mnooo Sema hatujui side effects za kuweka off nn kina tokea
ukiweka 5x kote.Unamaanisha yako inapiga gazi kwa slow motion ama sijakuelewa?
Safi sana nimekupata mzeeHiyo haina madhara yoyote ni kwamba zile movement zinazotokea wakat unapo quit,au unapo run application flan sasa speed yake hapo ndo unaicontrol jinsi unavozidi kuongeza speed ya animation(maana yake ile animation inazdii kuonekana) kwahyo ukifungua lbd app fln utaona jns inavokua na ukipunguza speed unafanya ile animation inaonkan kidogo/kwa mbali kwahyo ww utaona ile app imewah kufunguka na ukiweka off kbsa ile animation inakua haipo na hyo setting ya developer ni mojawpo ya option iliyozuiliwa coz sio kila mtu atahtaji ndio maana wameruhusu uwez kui access kama ru utaamua kua developer, kwa maana nyingine n sawa na simu iliyokua rooted kwamba baadhi ya option android wamezizuia kwahyo wakaweka na ruhusa ya kuweza kuzipata izo option
So, haina shida ukitaka kuielewa zaid jarbu ku set 2 au 5 au urud nyuma ufungue baadhi ya apps uone zinavofunguka af rudi set 1 au 0.5 au off kbsa utaweza kuona mabadliko yatayokufanya uielewe iyo option ya animation scale vzr
jaribu mzee ucheki simu inavyo kuwa kobe 😁😁😁
Hapa sasa ndiyo nimeelewa. Asante ndugu. Yule alieanzisha darasa ametokomea.Hiyo haina madhara yoyote ni kwamba zile movement zinazotokea wakat unapo quit,au unapo run application flan sasa speed yake hapo ndo unaicontrol jinsi unavozidi kuongeza speed ya animation(maana yake ile animation inazdii kuonekana) kwahyo ukifungua lbd app fln utaona jns inavokua na ukipunguza speed unafanya ile animation inaonkan kidogo/kwa mbali kwahyo ww utaona ile app imewah kufunguka na ukiweka off kbsa ile animation inakua haipo na hyo setting ya developer ni mojawpo ya option iliyozuiliwa coz sio kila mtu atahtaji ndio maana wameruhusu uwez kui access kama ru utaamua kua developer, kwa maana nyingine n sawa na simu iliyokua rooted kwamba baadhi ya option android wamezizuia kwahyo wakaweka na ruhusa ya kuweza kuzipata izo option
So, haina shida ukitaka kuielewa zaid jarbu ku set 2 au 5 au urud nyuma ufungue baadhi ya apps uone zinavofunguka af rudi set 1 au 0.5 au off kbsa utaweza kuona mabadliko yatayokufanya uielewe iyo option ya animation scale vzr