Yahusu wafufuao wafu na misukule

Kuna makanisa ya Kweli na ya uongo sio kwamba yote matapeli and the Word is widely straight-out unabii unatimia wa nyakati za mwisho.
 
Kuna makanisa ya Kweli na ya uongo sio kwamba yote matapeli and the Word is widely straight-out unabii unatimia wa nyakati za mwisho.

Up sahihi chongchung na post hii imelenga hayo ya uongo
 
Last edited by a moderator:
Nendeni mkasali huko kwenye hayo makanisa msichunguzechunguze. La sivyo kuweni waislamu....
 
Naona yakhe umerukia mada nyingine !
Hii lugha imetumika mpaka ndani ya Biblia.
Soma kitabu cha 'Mwanzo' utakuta lugha kama: .......na tuumbe mtu kwa mfano wetu.
Yakheee upo ?

Asante kwa kusadiki katika Utatu Mtakatifu. Mungu Baba Mungu Mwana Mungu Roho Mtakatifu. Mungu akubariki. Kila ulumi utamkiri Bwana...
 
Na manabii na mitume wenyewe ni wajanja wanapeleka makanisa yao kwenye mzunguuko wa hela kama Dar,Mwanza na Arusha

Me nawasubiri walete hukuuu mtwara kama hawata kuwa ombaombaa au iringa kwetu uwiiiiii
 
Una ushaaid kuhusu mh gwajima?au uwezo wa kufikiri umegota?nataka kujau ukweli tuh
 

Ningekuwa mimi hera sitowi na nashika TV nioneee....
 
Una ushaaid kuhusu mh gwajima?au uwezo wa kufikiri umegota?nataka kujau ukweli tuh

Jichagulie Jibu kama wewe ni mfuasi wake na pia Jichagulie jibu Kama wewe si mfuasi wake
 
It is you who don't read the Bible, but people who are informed are doing it. Hereunder is the impeccable proof.

Matthew 10:8 Heal the sick, raise the dead, cleanse those who have leprosy, drive out demons. Freely you have received; freely give.

You use verses on your favour. But what i know pastors use witchcraft to get deciples.
 

Wewe kama hiwaamini mitume na manabii ni uamuzi wako, lakini maandiko ya Biblia yanaonesha watakuepo mpaka Yesu arudi, swala la kufufua wafu na kurudisha misukule unayo haki ya kutoamini lakini biblia inasema kufufua wafu ni moja ya ilani ya Yesu, hivyo anapotokea anayeamini anaitekeleza, hivyo mimi sioni ajabu mtu kufufua wafu si kwa sababu ya miujiza yenyewe bali kwa kuwa ahadi hiyo ilishatolewa miaka 2000 iliyopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…