Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Cyan6huu nao ni ujinga mwingine kwani ulikuwepo huyo mungu wako akiteremsha? Aliteremsha na ngazi na kutokea wapi? Una tofauti gani na wale unaowashutumu wajinga wanapoamini maji yaweza kuwa damu ya Yesu??
kweli kabisa manake kama unaambiwa allah ni mungu nawe hujawahi muona you are imbesile
Sasa hivi ni mwendo wa kurudisha nguvu za Kiume, kutafuta Mume/Kuolewa, utajiri, kusafisha nyota.....Hawana tofauti na waganga a kienyeji..
turashashe jr;
"... Siamini ka ingekuwa ni jengo tu la ile dini nyingine ya majambia limetajwa tu humu hii thread ingekuwa ina endelea"
Hebu tufafanulie ni dini ipi hiyo ya majambia, nyambafu wewe!!
turashashe jr;
"... Siamini ka ingekuwa ni jengo tu la ile dini nyingine ya majambia limetajwa tu humu hii thread ingekuwa ina endelea"
Hebu tufafanulie ni dini ipi hiyo ya majambia, nyambafu wewe!!
Umenikumbusha mchungaji mmoja mwaka 2010 alikuja kwa mzee Wangu apate dawa za mvuto na kuwa na nguvu ktk kanisa lake tena alikuja na wanasiasa 2 ni maalufu sana hapa mjini
basi mzee wangu akawambia kazi zao zote zinafanyika usiku maeneo ya makabulini kunduchi ilipofika usiku wa saa sita tukaenda wote nikiwemo na Mimi mwenyewe..
Basi kufika makaburini ikanyunyizwa dawa kwenye makaburi 2 ya dini yake yakasemwa maneno flani pale ya lugha maalum. Mara yakafunguka ukatoka moto mkubwa sana ukiambatana na radi nusra jamaa wakimbie, basi tukaona watu wanatoka mle na kuuliza kwa lugha ileile aliyoongea mzee wangu,
akawatajia Shida za wale jamaa wote watatu wakaambiwa wavue nguo pale pale wasogee, basi wakafanya kama walivyoelekezwa na wale watu wakaanza na yule mchungaji kwa nguvu alizokuwa anataka akapewa ila kwa makubaliano maalumu, na wale wengine ambao mmoja ni mbunge maarufu wa upinzani na mwingine sasa ni waziri wakafanyiwa vile walivyoomba, kazi ikawa imekwisha.
Mchungaji ana kanisa bagamoyo road linajaza huwa nawaonea huluma waumini mana wanaabudu wasichokijua na nikikutana nae nikumtania mana najua nguvu sio ya mungu yeye huniambia namshukulu malehemu mzee wako nisingekuwa tajiri kama sio yeye
Kabla hujamhukumu mtu jaribu kuchunguza kwanza kama maneno yangu ni ya uwongo nakupa zoezi moja dogo na litakupa matokeo chukua ubani maka mafuta ya nyonyo roho ya kuku kibwelabwezi changanya na majani ya rufambo mzizi wa kabulini kisha twanga kausha uchanganye na hayo mafuta ya nyonyo jipake mengine nenda nayo kanisani kwako kwa hao unaowaaminia kuwa ni manabii ukifika mwaga kidogo mlangoni kwa sili kisha subili mchungaji wako atoke apite pale uone Bomu litakalotokea ila mi simo kwa udhalilishaji utakaotokea kwa mchungaji wako
Wewe mtani wangu acha tu,
Wapo watu hata leo hii wanaamini kuwa wakienda
kwa gwajima mfu wao atafufuka.
Hata wasomi wazuri wa Biblia usishangae unapoambiwa
kuwa wakifiwa wanapeleka maiti huko ili ikafufuliwe,
cha ajabu ni kwamba wanarudi na mfu wao.
Hili la mapepo, hawa wahubiri huwa wanatumia mbinu moja
anapokuwekea mikono anakupush nyuma kiasi kama hauna
balance ni lazima utaanguka tu.
Na ndiyo maana akina mama wengi ndio wanaanguka
si hatuna nguvu sana.
TanzaniaLawHaujajibu swali.
1. Who owns the Quran?
2. Quran ni maneno ya nani?
kweli kabisa manake kama unaambiwa allah ni mungu nawe hujawahi muona you are imbesile