Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,522
- 31,710
Thank you!Hivyo hata kama TBC watapata mtu ambae yupo makini na kutengeza chombo hicho cha "Bungeni Live" kiwe na mvuto hata kwa wale wanaokupa fedha za kujiendesha badala la kushughulika na Star Times kuuza vitu vingine kama simu, hio inakuwa huitaji bilioni 4 kuendesha live broadcasting..
1. Hakina watu makini kuanzia TBC hadi wizarani. Inapotokea mtu akadhani kurekodi kunapunguza gharama bila kujali nini kinaweza kupatikana kupitia njia nyingine , inafikirisha
2. Wameacha jukumu lao la asili na sasa wanatumika na CCM, ndio ukweli hata kama watu hawataki
3. Hawana ubunifu wa kuleta mvuto. Watu wanapotangaza harusi badala ya mambo yatakayovutia audience na kufanya biashara ni hali ya kusikitisha sana