Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,352
Hivi Jambazi, Super Handsome mmepita huku leo? Mie nimeshacheka vya kutosha sijui nyie.
wewe pesa muhimu nitanunuaje wine na nguo?Sasa miss chagga pesa ya nini? We sinipambo la ndani? kazi yako nikujiremba tu na mimi ndo ninajukumu lakutafuta hiyo pesa!!
la kwangu lipo kwenye list ya majina amabayo yana bahati ya pesa tu... mapenzi tuachie watangaLakwako halipo sjaliona mamii
la kwangu lipo kwenye list ya majina amabayo yana bahati ya pesa tu... mapenzi tuachie watanga
huwa hayatajwi hovyo hovyoHayo ya list ya pesa yapo wapi?
Hivi na wewe unamuamini GENTAMYCINE? Basi huna tofauti na hawa wanaomwagika povu hapa....Haha we Halima jina lako lipo ngoja nikabadili jina niwe na bahati!
Hivi na wewe unamuamini GENTAMYCINE? Basi huna tofauti na hawa wanaomwagika povu hapa....
Huku ni kuchangamsha jukwaa tu don't take it seriously. ..
Mimi jina langu halipo lakini najijua mwenyewe mambo yangu.
wewe pesa muhimu nitanunuaje wine na nguo?
kwa hiyo mwagiliaji akifa na mimi nianze kunyauka ? mimi sitakiKwani ua linatafuta maji au mwenye ua ndo hulimwagilia na kulistawisha? We nikukaa tu kila kitu nitahangaika mwenyewe, hivyo mambo ya wine na nguo wala usijali.