Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Unatetea kibarua chako houseboy wakeUtaelewa tu ,ni suala la muda
Unatetea kibarua chako houseboy wakeUtaelewa tu ,ni suala la muda
Aliprint fomu moja kuogopa nnAkili zako sio nzuri; hivi umeona huko mtaani badala ya CCM kutoa sadaka sare zake safari hii hakuna charity, watu wanananua vitambaa, wanapata wateja wakununua na kushona; inakuambia jinsi Magu alivyobadili CCM.
Waambie CDM wajaribu kama wataweza.
Magufuli hana mpinzani; endeleeni kuwalisha pumba akina Lissu kama wanaweza fua dafu mbele ya jemedari.
ningekua rais ningefuta mchakato Wa kura za maoni na kuitisha upya, na walioshiriki wasirudie wake wapya, maana hakuna ambae hajatoa rushwa
Kabisa huwezi tengenisha rushwa na ccmRushwa na CCM ni damu damu,
Umejuaje, kuna mtu alijitokeza akanyimwa form? ye mwenyewe alikuwa hana uakika mpaka dakika ya mwisho kama hakuna mtu atakaenda kuchukua form.Aliprint fomu moja kuogopa nn
Mtafuteni huyu 0715132277 anaitwa Sele ndiyo mpambe wa Jack pemba ndiyo katoa siri zote za Bashite jinsi walivyokuwa wakigawa Rushwa, anazo siri nyingi za BashiteMkakati wa timu ya Makonda kuhakikisha zinapatikana kura nyingi za maoni kutoka kwa wajumbe wa mkutano mkuu Jimbo la Kigamboni uligubikwa kwa rushwa, imebainika.
Rushwa hiyo iliyotembezwa waziwazi kwa wajumbe wa mkutano huo uliomalizika leo, imedhihiri baada ya wapambe wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuanza kuwatukana na kuwatisha baadhi ya wajumbe hao.
Waliokula pesa na kuhisiwa kutompigia kura waitwa wahuni
Mara baada ya matokeo ya wagombea hao wa CCM kutangazwa, wapambe wa Makonda, wengi wakiwa nje ya ukumbi wa mkutano walisikika wakitukana na kuwaita wajumbe waliodai wamekula pesa zao kuwa ni “wahuni.”
Mmoja wa wapambe hao, Jack Pemba aliyeonekana mara kwa mara maeneo ya Kigamboni tangu wiki iliyopita akiwa na Makonda, alisema “Kigamboni watu wajinga sana, wanaacha mpiganaji?” hapa akionekana kumaanisha Makonda.
Jack Pemba anatajwa katika safari zake za Kigamboni kuwa alikuwa akifuatana na timu ya wapambe wenzake kusaka wajumbe na kuwapa rushwa.
Katika uchaguzi huo, Makonda aliambulia kura 122 huku mbunge aliyemaliza muda wake, Dkt. Faustine Ndugulile akiibuka kidedea kwa kura 190.
Jack Pemba ambaye amekuwa akijinadi kuwa “rafiki na ndugu tajiri” wa Makonda, aliwasili nchini Jumanne ya wiki iliyopita.
Pemba aliwaeleza marafiki zake kwamba amekuja “kumaliza kazi Kigamboni” kwani ana mzigo wa kutosha (pesa).
Pamoja na Kigamboni maeneo mengi kulikofanyika uchaguzi huo yamedaiwa kugubikwa na vitendo vya rushwa, huku wabunge waliomaliza muda wao wakitajwa kutumia fedha nyingi kuwahonga wajumbe.
Mmoja wa wagombea kutoka Lindi amesikika akilalamika kuwa mafao ya wabunge waliomaliza muda wao yametumika kuminya haki katika mchakato huo.
CHANZO: Makonda alitembeza rushwa Kigamboni. Wapambe wake wawawakia waliokula pesa zao
Sele mpambe wa Bashite kasema kuwa waligawa Rushwa vya kutoshaHata hivyo ndio mbunge mtarajiwa ,anasubiri kuapishwa tu,Ndugulile atatafutiwa kazi nyingine
Kipi keshawahi shinda bila kubebwa?Umejuaje, kuna mtu alijitokeza akanyimwa form? ye mwenyewe alikuwa hana uakika mpaka dakika ya mwisho kama hakuna mtu atakaenda kuchukua form.
Wacha kuokota maneno ya mtaani.
0715132277 sele analo file lote la Rushwa ya Bashite mpigie utapata taarifa zote, waketembeza Rushwa sana na wanafanya fitna kwa nguvu kubwa ndungulile akatwe jina DodomaWhat is So Special with or in Makonda??? Wapiga Kura za maoni hawakuona hiyo Speciality yake wampigie? Ndugulile ana tatizo gani Hadi asipewe nafasi ya Ubunge? Human Doctor mzaliwa na Mkaazi wa Kigamboni anyimwe Kwa nini? Acheni upambe Mbuzi kama Bashite anawalipa kumpigia Debe mitandaoni mmebugi. Wapiga Kura wameamua ule sio Uteuzi.
Una akili sana, unataka tupige rushwa upya.ningekua rais ningefuta mchakato Wa kura za maoni na kuitisha upya, na walioshiriki wasirudie wake wapya, maana hakuna ambae hajatoa rushwa
Mnatabia ya kujiaminisha mambo ambayo mnayaelewa kwenye vichwa vyenu tu.Kipi keshawahi shinda bila kubebwa?
Uwaletee watu umasikini ili wakuabudu then warudie kosa la kusomeshwa namba tena
Mpigie sele 0715132277 atakupa mbinu zote walizokuwa wakitumia kugawa Rushwa Kigamboni na mpaka sasa anazo pesa zingine za kutengeneza fitna za kumchafua ndungulile huko KigamboniSema utakua mjinga kama uliamini alipata zile kura 122 bila kumwaga pesa. Makonda ni mtu pekee aliepata uBilionea katika serikali ya awamu ya 5.
Muujiza kuwabambikia kesi wapinzani? Muujiza kuzuia mikutano ya siasa?Mnatabia ya kujiaminisha mambo ambayo; Magufuli mwenyewe sasa hivi ameshakuwa comfortable na kazi yake na anachotaka ni kazi tu hakuna kuremba.
Lissu na Membe watashindana na Magufuli you guys are a joke.
Mwenye macho aambiwi tazama miaka mitano ya Magufuli ni miujiza.
Baadhi ya Takukuru licha ya kuzuia Rushwa lakini na wao huichukua Rushwa pindi wakamkata mtu kwenye anga ambazo hazina macho mengi mtafuteni sele 0715132277 anazo taarifa zote jinsi walivyotembeza RushwaKwa wajumbe wale wanaochagua hata mrudie mara mia. Kifo cha mende tu. TAKUKURU Jimbo la Kibamba toeni ripoti mgombea alieongoza aliachiwaje baada ya kukamatwa akitoa rushwa eneo la uchaguzi. ?!
Shilingi ngapi waligawa?Sele mpambe wa Bashite kasema kuwa waligawa Rushwa vya kutosha
Huteuliwi kuwa mbungeNdugulile aliongoza.tu kura za maoni.,atakaeteuliwa ni mshindi wa pili.ambaye ni Makonda
Ukusikiliza juzi alichoongea sasa hivi ni muda campaign karuhusu mikutano.Muujiza kuwabambikia kesi wapinzani? Muujiza kuzuia mikutano ya siasa?
Angekuwa hana mpinzani angekubali ashindanishwe na wanaCCM wenzakeAkili zako sio nzuri; hivi umeona huko mtaani badala ya CCM kutoa sadaka ya
sare zake safari hii hakuna charity, watu wanananua vitambaa, wanapata wateja wakununua na kushona; inakuambia jinsi Magu alivyobadili CCM.
Waambie CDM wajaribu kama wataweza.
Magufuli hana mpinzani; endeleeni kuwalisha pumba akina Lissu kama wanaweza fua dafu mbele ya jemedari.
1.5 T zimekwenda na maji.Mnatabia ya kujiaminisha mambo ambayo mnayaelewa kwenye vichwa vyenu tu.
Magufuli mwenyewe sasa hivi ameshakuwa comfortable na kazi yake na anachotaka ni kazi tu hakuna kuremba na watanzania tumemuelewa.
Lissu na Membe watashindana na Magufuli you guys are a joke kama mnaamini wana hiyo chance kwenye sanduku la kura.
Hivi ata kwanini mnataka kupoteza muda wa kura za raisi wakati mshindi anajulikana tayari ni Magufuli.
Mwenye macho aambiwi tazama miaka mitano ya Magufuli ni miujiza.