Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,933
Hakuna haraka ya wabunge kujiengua CCM kwa sasa kwa wale wenye mapenzi mema na mageuzi, ila tutumie falsafa ya misaafu kuwa acheni ngano na magugu vikue pamoja hadi wakati wa mavuno utakapowadia tutakapotenganisha ngano kuziweka ghalani (Chadema) na magugu kuyaangamiza. Wametangulizwa akina Malya na wengine kuendelea kuvuna mavuno ya awali na kisha akina Filikunjombe watakapogeukia upinzani 2014 nguvu zote za miguu CCM tengelem hadi kuangukia pua 2015. Lets pray for that, Siasa ni mbinu za kisayansi katika ulimwengu wa leo, sio leo leo tutaharibu mambo.