Kwa silka na hulka ya utendaji wa Mwenyekiti mpya wa CCM, Dkt Magufuli, na hasa kwa kutowakubali, (yawezekana kwa kutowaamini), wateule na watendaji wakuu wa Mtangulizi wake, sioni dalili za Uteuzi wa Ndg Kinana kuwa Katibu Mkuu Mpya wa CCM, kudumu kwa muda hata wa siku 100.
Licha ya sifa kemkem alizopewa Dodoma, kuna uwezekano mkubwa yale yaliyomkuta aliyekuwa katibu mkuu kiongozi Ndg Sefuwe, yakamkuta Kinana, tukaishia kuambiwa, "ATAPANGIWA KAZI NYINGINE"
Muda haudaganyi Tusubiri.
Licha ya sifa kemkem alizopewa Dodoma, kuna uwezekano mkubwa yale yaliyomkuta aliyekuwa katibu mkuu kiongozi Ndg Sefuwe, yakamkuta Kinana, tukaishia kuambiwa, "ATAPANGIWA KAZI NYINGINE"
Muda haudaganyi Tusubiri.