In fact walishikwa ma hitman wake kwa mtu ambae alimu underestimate, akapigiwa simu akaambiwa ongea na vijana wako, wakapewa simu vijana wake wakaungama, huku ngoma nzito imebidi tutapike mboga yote. Baada ya hapo hakungoja kitu, ikabidi achome Chato.
Mpaka Maalim alipokwenda kumhakikishia kuwa rudi kazini, nimeambiwa hakuna neno zaidi, yamepita. Akasema mpaka nimsikie kauli yake mwenyewe, Maalim akakoroga uzi kwa mwana diplomasia wa kimataifa, akatolewa hofu lakini akawa hana raha ya kazi kuanzia siku hiyo.
Kisa ni kirefu, kama zilivyo "conspiracy theories" zote, nimekifupisha sana.