Ya Mungu mengi ila Dunia ina mengi pia

Ya Mungu mengi ila Dunia ina mengi pia

Simtaki kweli huyo alafu kwasasa sina mvuto kama zama zile
Kuumwa sio mwisho mzee harakati zinaendelea magonjwa ni sehemu ya maisha. Ila kweli ungetakiwa upoze hasira zako kwa dasa yule. Labda ungepata mabilioni ukasahau maisha ya bongo😀
 
Kuumwa sio mwisho mzee harakati zinaendelea magonjwa ni sehemu ya maisha. Ila kweli ungetakiwa upoze hasira zako kwa dasa yule. Labda ungepata mabilioni ukasahau maisha ya bongo[emoji3]
Mabilioni ? Hapana bwana starehe nimezila sana huu ulikuwa mda wa kupumzika na cheo kikubwa huku nakunywa vilaini laini tu , nikiomba umri mrefu zaidi [emoji10]
 
Mabilioni ? Hapana bwana starehe nimezila sana huu ulikuwa mda wa kupumzika na cheo kikubwa huku nakunywa vilaini laini tu , nikiomba umri mrefu zaidi [emoji10]
😀😀 bado umri upo kikubwa ufanya mazoezi. Unamuoma mzee wa msoga yuko fiti sana.
 
Kuumwa sio mwisho mzee harakati zinaendelea magonjwa ni sehemu ya maisha. Ila kweli ungetakiwa upoze hasira zako kwa dasa yule. Labda ungepata mabilioni ukasahau maisha ya bongo😀
Dada Kabula ila sio Jinn Kabula aus sio 😂
 
Mabilioni ? Hapana bwana starehe nimezila sana huu ulikuwa mda wa kupumzika na cheo kikubwa huku nakunywa vilaini laini tu , nikiomba umri mrefu zaidi [emoji10]
Dad naona ukilala waota cheo ukiamka wajing'ata 😁na sonyo juu
 
Vijana na wazee wa. Jukwaa hili, nimeuliza swali hili mara nyingi, fungukeni...

Nini kilichopelekea jiwe akajibanze Chato kwa zaidi ya miezi miwili?
Madam, me pia nilijiuliza sana swala hili!? Naomba tegua basi please [emoji120][emoji120]
 
Daaah! Kilichompata stahiki yake
In fact walishikwa ma hitman wake kwa mtu ambae alimu underestimate, akapigiwa simu akaambiwa ongea na vijana wako, wakapewa simu vijana wake wakaungama, huku ngoma nzito imebidi tutapike mboga yote. Baada ya hapo hakungoja kitu, ikabidi achome Chato.

Mpaka Maalim alipokwenda kumhakikishia kuwa rudi kazini, nimeambiwa hakuna neno zaidi, yamepita. Akasema mpaka nimsikie kauli yake mwenyewe, Maalim akakoroga uzi kwa mwana diplomasia wa kimataifa, akatolewa hofu lakini akawa hana raha ya kazi kuanzia siku hiyo.

Kisa ni kirefu, kama zilivyo "conspiracy theories" zote, nimekifupisha sana.
 
In fact walishikwa ma hitman wake kwa mtu ambae alimu underestimate, akapigiwa simu akaambiwa ongea na vijana wako, wakapewa simu vijana wake wakaungama, huku ngoma nzito imebidi tutapike mboga yote. Baada ya hapo hakungoja kitu, ikabidi achome Chato.

Mpaka Maalim alipokwenda kumhakikishia kuwa rudi kazini, nimeambiwanhakuna neno zaidi, yamepita. Akasema mpaka nimsikie kauli yake mwenyewe, Maalim akakoroga uzi kwa mwana diplomasia wa kimataifa, akatolewa hofu lakini akawa hana raha ya kazi kuanzia siku hiyo.

Kisa ni kirefu, kama zilivyo "conspiracy theories" zote, nimekifupisha sana.
Watu mna mengi katika Dunia hii

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
In fact walishikwa ma hitman wake kwa mtu ambae alimu underestimate, akapigiwa simu akaambiwa ongea na vijana wako, wakapewa simu vijana wake wakaungama, huku ngoma nzito imebidi tutapike mboga yote. Baada ya hapo hakungoja kitu, ikabidi achome Chato.

Mpaka Maalim alipokwenda kumhakikishia kuwa rudi kazini, nimeambiwa hakuna neno zaidi, yamepita. Akasema mpaka nimsikie kauli yake mwenyewe, Maalim akakoroga uzi kwa mwana diplomasia wa kimataifa, akatolewa hofu lakini akawa hana raha ya kazi kuanzia siku hiyo.

Kisa ni kirefu, kama zilivyo "conspiracy theories" zote, nimekifupisha sana.
Sasa si Bora angetimkia Kwa biden

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom