Ya mkeo tamu safi na ina ladha

Ya mkeo tamu safi na ina ladha

What does it add to you? The freedom which irritate others si jambo jema nadhani.

^^
Nashindwa kubadili kwa sababu, hamnipi sababu inawaathiri kitu gani? Ni kwamba inaziba coment isisomeke? Vipi coment yangu inazuia usomaji wa jukwaa zima au thread nzima? Je, nimevunja sheria yoyote ya Jf?
Je nina haki ya kuwa na uhuru wa mimi kuwa mimi? Au lazima sote tuvae sare?
Niwekeni wazi, naamini mkinipa sababu nitaondoa. Vingnevyo katika profile pale kuna buttön ya "Ignore list" ambayo ukini add hutaona comment yoyote automatically, have fun and enjoy your jf life.
^^
 
kinachowatoa wanaume nje ni tabia ya wanawake mara tu akishaolewa anaanza visirani na ni washari sana wakishaolewa. ni bora kumfanya mwanamke kimada mtakuwa na furaha kuliko ukimfanya mke!

Asante hawa watu mchawi aliyewaloga kafariki. Yaani utapendwa sana akiwa anavizia umuweke ndani kosa tu ukishamfanya mkeo mask aliyokuwa amevaa anaivua na kubaki yeye kama yeye, hapo ndipo pa kujiuliza kwa nini nilioa maana hiyo mijidharau , visirani balaa.
 
Kwanini uhangaike na vimada na machangu ambao daily hupitiwa na kila aina ya mitulinga mpaka ladha inapotea na usafi Mmh..!nyingine zinanuka

Ya mkeo iko hm muda wote ready for u only, na ishakuwa serviced haina gharama na ni yako peke yako....unatafuta nini huko nje weweeeee....?????

balance hii habari yako sio uongelee wanaume tuu wakati na wanawake nao ni the same shit.
 
asante hawa watu mchawi aliyewaloga kafariki. Yaani utapendwa sana akiwa anavizia umuweke ndani kosa tu ukishamfanya mkeo mask aliyokuwa amevaa anaivua na kubaki yeye kama yeye, hapo ndipo pa kujiuliza kwa nini nilioa maana hiyo mijidharau , visirani balaa.

yaani mimi nashangaaga sana! Mmelala mnacheka halafu mwenzio anaamka mdomo kauvuta huyo sijui kakutana na shetani gani kwenye ndoto! Basi mtaa wa nyuma unakaona kenzake kanajilengesha na kwa sababu unataka releaf unaenda kukadunga kitu kitamu halafu utamsikia oooh umeenda nje mimi nimekunyima nini! Nyooooo!
 
Kama ulisikia ripoti ya mkemia mkuu wa serikali mwaka jana juu ya uhalali wa watoto wa ndoa na siri waliyonayo wanawake juu ya nani baba wa watoto, ungemwacha mkeo na hiyo red usingethubutu kuisema.....shituka ndugu yangu utajisikiaje siku nikijipa ujasiri na nikikwambia huyo wako nami nagegenda.....hey sorry mie nisije vunja ndoa za watu.....wake walikuwa zamani ambao ni wazazi wetu vice vesa is true

Vp kaka Mbona wataka tupeane pressure?? Ila Mmh ok hainaga makombo
 
kila siku maharagweeee jamani na mboga nyinginezo pia
 
Baelezeeeee!wanaacha fresh kwa wake zao wanaenda kula makombo,fungus haziwaishi mfyuuuuuu!
 
Kwanini uhangaike na vimada na machangu ambao daily hupitiwa na kila aina ya mitulinga mpaka ladha inapotea na usafi Mmh..!nyingine zinanuka

Ya mkeo iko hm muda wote ready for u only, na ishakuwa serviced haina gharama na ni yako peke yako....unatafuta nini huko nje weweeeee....?????
Nasisi amabo hatujaoa tunapenda za wake zenu kwa sababu ni safi na ready to use all time, wala haina gharama, bado ziko standard kwa kuwa wamiliki hamtumii bali mnaonja tu, SISI TUNAPIGA MZIGO.
NI MTAZAMO TU.
 
Hiyo ni tabia ya kibinadamu kupenda kujua na kujaribu maisha ya nje ya pale alipo. utaweza kukuta mtu kaoa ama kuolewa na binti mrembo sana au kijana handsome sana , msafi na ana kila kitu ila ukashangaa anaenda kufumaniwa na haousegirl au shamba boy mchafu, ananuka vikwapa na kadhalika... muhimu mtambue kuwa huo ni ubinadamu na binadamu tuko tofauti sana kimahitaji, utashi, hisia na kadalika hivyo tumuombe mungu tuu maana hakuna jinsi ya kutatua hayo kibinadamu
 
^^
Nashindwa kubadili kwa sababu, hamnipi sababu inawaathiri kitu gani? Ni kwamba inaziba coment isisomeke? Vipi coment yangu inazuia usomaji wa jukwaa zima au thread nzima? Je, nimevunja sheria yoyote ya Jf?
Je nina haki ya kuwa na uhuru wa mimi kuwa mimi? Au lazima sote tuvae sare?
Niwekeni wazi, naamini mkinipa sababu nitaondoa. Vingnevyo katika profile pale kuna buttön ya "Ignore list" ambayo ukini add hutaona comment yoyote automatically, have fun and enjoy your jf life.
^^
kaka mimi sijaona kitu gani hasa kinachowakera watu kwa style ya uandishi wako mbona haina effect yoyote kwangu?
 
unajua hata ukiendesha sana Verossa siku ukaiona Range sport inapita lazima utatamani angalau hata upige reverse uone how it feels
 
Back
Top Bottom