Ya lukuvi na open spaces - hongera mkuu wa mkoa

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
24,889
11,284
wakuu nalazimika kupongeza hatua ya awali ya lukuvi kuhusu open spaces [dar es salaam].... pia napongeza sana hatua ya kusimamisha baadhi ya watendaji

sasa ni wakati wetu kutoa uthibitisho wa open spaces na maeneo yoyote yanayomilikiwa isivyo halali

Mwenge kijijini ---- hali ni mbaya
 
dah... seems like a thousand year ago when Lukuvi was seriously attacking land grabbers... little did he know that his efforts were short lived
 
Utendaji wa Lukuvi kwa Dar ulikuwa wa vitendo and commendable sema tu alikosa ushirikiano na wakubwa wanzie. Kwamfano manesi wengi wa Mwananyamala walihamishiwa Mtwara na kwingineko na watumishi wa ardhi wa Kinondoni, Temeke na Ilala walisimamishwa kazi kwasababu ya urasimu, rushwa na utapeli wao.
 
Thanks Mkuu.. Dar in Mengi sana, na mfano uliotoa ni sawa kabisa... sasa je Ukiwa RC na watendaji wakaleta za kuleta, bado utakua successful?
 
Kituo
wakuu nalazimika kupongeza hatua ya awali ya lukuvi kuhusu open spaces [dar es salaam].... pia napongeza sana hatua ya kusimamisha baadhi ya watendaji

sasa ni wakati wetu kutoa uthibitisho wa open spaces na maeneo yoyote yanayomilikiwa isivyo halali

Mwenge kijijini ---- hali ni mbaya
sehemu kilipojengwa kituo cha mafuta cha BIg Bon Mori Sinza na eneo la nyuma ya kituo hicho ambako kunaporomoshwa ghorofa la kufa mtu vyote mali ya Big Bon
 
Back
Top Bottom