Ocampo four
JF Senior Expert Member
- Feb 28, 2014
- 5,790
- 2,159
Huyu ni Rais mstaafu wa Kenya Ndugu Mwai Kibaki. Hizi picha ni za mwaka 2002 akiwa katika kampeni alipowakilisha umoja wa NARC pia kuna picha ya siku anaapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya watu wa Kenya...
Mytake: Vijana wa Lumumba mwaka huu mabadiliko hayaepukiki hata mje na kashfa gani!.... Wananchi washaamua na mabadiliko ni lazima!....
Mytake: Vijana wa Lumumba mwaka huu mabadiliko hayaepukiki hata mje na kashfa gani!.... Wananchi washaamua na mabadiliko ni lazima!....