Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,419 Reaction score 18,341 Nov 7, 2013 #2 Hiyo ya kwanza natumia nikiwa kwa watu 2,5 & 6 nikiwa ghetoni au home kwa wazazi
Washawasha JF-Expert Member Joined Aug 7, 2006 Posts 16,948 Reaction score 13,378 Nov 7, 2013 #3 namba 6 ndio kwa sana tu. Nalog off
Sikonge JF-Expert Member Joined Jan 19, 2008 Posts 11,633 Reaction score 6,229 Nov 7, 2013 #4 3, 8 na 9 zinafaa wakati umekula Maharage, unakaa kwenye Balcon unajifanya unasoma, kumbe unashusha Gas kama Kipengule cha Airbus A380
3, 8 na 9 zinafaa wakati umekula Maharage, unakaa kwenye Balcon unajifanya unasoma, kumbe unashusha Gas kama Kipengule cha Airbus A380
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,920 Nov 7, 2013 #5 Namba 8...Cc figganigga. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,419 Reaction score 18,341 Nov 7, 2013 #6 Sikonge said: 3, 8 na 9 zinafaa wakati umekula Maharage, unakaa kwenye Balcon unajifanya unasoma, kumbe unashusha Gas kama Kipengule cha Airbus A380 Click to expand... 8 & 9 utakaa hivo kwa mda gani?maana kichwa kipo chini bila kuegemea kitu
Sikonge said: 3, 8 na 9 zinafaa wakati umekula Maharage, unakaa kwenye Balcon unajifanya unasoma, kumbe unashusha Gas kama Kipengule cha Airbus A380 Click to expand... 8 & 9 utakaa hivo kwa mda gani?maana kichwa kipo chini bila kuegemea kitu
Lady doctor JF-Expert Member Joined Apr 13, 2013 Posts 8,756 Reaction score 7,005 Nov 7, 2013 #7 No. 5 ndio pozi langu ila najisikia kuijaribu no8 nione pozi litatuliaje
Lady doctor JF-Expert Member Joined Apr 13, 2013 Posts 8,756 Reaction score 7,005 Nov 7, 2013 #8 24hrs said: 8 & 9 utakaa hivo kwa mda gani?maana kichwa kipo chini bila kuegemea kitu Click to expand... hulali????
24hrs said: 8 & 9 utakaa hivo kwa mda gani?maana kichwa kipo chini bila kuegemea kitu Click to expand... hulali????
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,419 Reaction score 18,341 Nov 7, 2013 #9 Lady doctor said: hulali???? Click to expand... mchana niliuchapaje usingizi, btw i'm 24hrs Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Sikonge JF-Expert Member Joined Jan 19, 2008 Posts 11,633 Reaction score 6,229 Nov 7, 2013 #10 Kochi la Sikonge ni kubwa sana.... 24hrs said: 8 & 9 utakaa hivo kwa mda gani?maana kichwa kipo chini bila kuegemea kitu Click to expand...
Kochi la Sikonge ni kubwa sana.... 24hrs said: 8 & 9 utakaa hivo kwa mda gani?maana kichwa kipo chini bila kuegemea kitu Click to expand...
Mwl.RCT Platinum Member Joined Apr 5, 2009 Posts 15,596 Reaction score 22,335 Nov 7, 2013 #11 # 5 iko poa
figganigga Platinum Member Joined Oct 17, 2010 Posts 26,681 Reaction score 59,181 Nov 7, 2013 #12 farkhina said: Namba 8...Cc figganigga. Click to expand... hahahahaaaa.....!!!. mimi no 2 kama nipo getto naangalia movie. mia Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
farkhina said: Namba 8...Cc figganigga. Click to expand... hahahahaaaa.....!!!. mimi no 2 kama nipo getto naangalia movie. mia
kivyako JF-Expert Member Joined Feb 2, 2012 Posts 14,342 Reaction score 12,065 Nov 7, 2013 #13 #8 na 9 lazima kitu yusuffffffffffffffffffff! kichukue nafasi
M MWANAKA JF-Expert Member Joined Oct 4, 2013 Posts 4,894 Reaction score 4,446 Nov 7, 2013 #14 namba 1 daima siku zote
General8 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 996 Reaction score 862 Nov 7, 2013 #15 my son likes number 8
E eddyy JF-Expert Member Joined Sep 18, 2013 Posts 208 Reaction score 50 Nov 7, 2013 #16 Si zinawahusu wanawake tu mwanaume atakaeka hivi si atatisha watu......kidada jitanueni zaidi hizi pozi zinawapendeza
Si zinawahusu wanawake tu mwanaume atakaeka hivi si atatisha watu......kidada jitanueni zaidi hizi pozi zinawapendeza
Heaven on Earth JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 37,226 Reaction score 26,716 Nov 7, 2013 #17 5 & 6 nikiwa home ndio pozi langu hilo
N Ndakilawe JF-Expert Member Joined Jul 6, 2011 Posts 4,815 Reaction score 2,832 Nov 7, 2013 #18 5 na 6, mpka nimeharibu makochi home, niwe nasoma gazeti, nawatch tv, nipo kwa laptop, ndio mikao yangu
5 na 6, mpka nimeharibu makochi home, niwe nasoma gazeti, nawatch tv, nipo kwa laptop, ndio mikao yangu
Lily Flower JF-Expert Member Joined Oct 16, 2009 Posts 2,553 Reaction score 1,199 Nov 7, 2013 #19 Nikiwa excited #8 nikiwa nimechill 5 & 6.
kadakokigondile JF-Expert Member Joined May 17, 2013 Posts 1,872 Reaction score 635 Nov 7, 2013 #20 8 huwa natumia nikiwa offisini