Sku hz unaagua kabisa..aisee we baba ni hatari![]()
![]()
mpwa nimekimbia maji mazima, headquarters nimehamishia Msata kilingeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wameacha kuwatega?Ndege wabaya sana hawa..! Wana hila kama binadamu! Wanatajwa kama moja ya sababu ya kutoweka kama sio kukimbia kwa aina ya ndege wengine waliokuwa wanapatikana hapa dar es salaam miaka ya nyuma!
Wanauwezo wa kupigana na ndege wakubwa na pia kuvamia viota vya ndege wengine pamoja na kuvunja mayai na kuua vifaranga vyao!
Kuna taasisi moja ya mambo ya uhifadhi wa ikolojia walijaribu kuweka mitego maeneo mbalimbali hapa dar es salaam na kuwaua ili wapungue lakini wameshindwa!
Nenda pale library za udsm idara ya zoology (Ornithology) utazikuta research papers zake ziki-asses effect zilizoletwa na ndege huyu!
Sent by Ubavu
Labda unamaanisha mwewe mkuu,mbona sijawahi kuona kunguru akiwa na shida na mtu mkuu.Hawa wadudu wancrem had sura kuna Dogo alizoea kuwapiga piga walikua. Wakimuona wanamfuata mpaka madrasa wanakaa Nje wanasubiri atoke waanze tena kumzomea mpaka mwalimalihis kuna kaushirikina flan
Sent using Jamii Forums mobile app
Original walikuwa wakubwa kidogo wastaarabu kiasi fulani halafu walikuwa na rangi nyeupe chini ya mbawaNdege wabaya sana hawa..! Wana hila kama binadamu! Wanatajwa kama moja ya sababu ya kutoweka kama sio kukimbia kwa aina ya ndege wengine waliokuwa wanapatikana hapa dar es salaam miaka ya nyuma!
Wanauwezo wa kupigana na ndege wakubwa na pia kuvamia viota vya ndege wengine pamoja na kuvunja mayai na kuua vifaranga vyao!
Kuna taasisi moja ya mambo ya uhifadhi wa ikolojia walijaribu kuweka mitego maeneo mbalimbali hapa dar es salaam na kuwaua ili wapungue lakini wameshindwa!
Nenda pale library za udsm idara ya zoology (Ornithology) utazikuta research papers zake ziki-asses effect zilizoletwa na ndege huyu!
Sent by Ubavu
Inawezekana kabisa japo nyingine ni imani tuNi kwel kwamba wklikunyea kuna ishara wanakupa? mshana jr
Nuhu alipomtuma kunguru mwewe akaangalie ardhi kama imekauka baada ya gharika mwewe hakurudiHawa ndege wana akili sana nadhani huenda wakawa ni wenye akili kuliko ndege wengine. Yaani ni wajanja mno ndo maana wahenga wakasema " kunguru hafugiki" si kwa sababu ni wakali ila ni sababu ya ujanja wao...
....![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
wengine wakifa wanakuwa makunguru
Na sijui yangepewa uwezo wa kutumia kucha za miguu kubeba vitu ingekuwaje?????