TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,829
- 11,204
Hii tabia ya wadada kupaka mijitako ya kichina inaniboa sana.... unakuta bonge la toto kumbe manufactured bwana, si bora hizo dawa tupake ng'ombe na mbuzi ili tuuze nyama nyingi??
Jana ndani ya mwanza, hamasa nikaingia,
Nikaona ni ya kwanza, ya china kining'inia,
moyoni nikajikwaza, wazo baya lanijia,
hizi dawa za kichina, ni bora tupake mbuzi
ni bora tupake mbuzi, tena makalioni
na pia pale mbavuni, bila kosa ugimbini
mbuzi kunona budi, kapo paja lithamini
tukiwapaka na mbuzi, basi mauzo yatenda juu
mauzo yatenda juu, tukiwapaka na mbuzi
tuuze kilo za juu, kuzidi na kumi hizi
tupate pato la juu, na si kukuza mashuzi
na warembo kwa makuu, waache kujifitizi
waache kujifitizi, na mitako ya kichina
wanakua kama ndezi, bada muda na huchina
wamwfanywa wapuuzi, kupaka ya kichina
warejee kwenye necha, midawa wawape mbuzi
Jana ndani ya mwanza, hamasa nikaingia,
Nikaona ni ya kwanza, ya china kining'inia,
moyoni nikajikwaza, wazo baya lanijia,
hizi dawa za kichina, ni bora tupake mbuzi
ni bora tupake mbuzi, tena makalioni
na pia pale mbavuni, bila kosa ugimbini
mbuzi kunona budi, kapo paja lithamini
tukiwapaka na mbuzi, basi mauzo yatenda juu
mauzo yatenda juu, tukiwapaka na mbuzi
tuuze kilo za juu, kuzidi na kumi hizi
tupate pato la juu, na si kukuza mashuzi
na warembo kwa makuu, waache kujifitizi
waache kujifitizi, na mitako ya kichina
wanakua kama ndezi, bada muda na huchina
wamwfanywa wapuuzi, kupaka ya kichina
warejee kwenye necha, midawa wawape mbuzi