Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Kuna news nimeiona Michuzi (siku hizi anabania huwezi ku copy text from his blog), ambazo zinaonyesha how bold huyu Dr Shein is.
Anasema kuwa hoteli itajengwa Stone Town na asiyetaka akashtaki!
Sina uhakika na legalities na siwezi kutetea upande wowote kwani sina facts in hand ila one thing is for sure. Dr Shein sio mpole mpole kama ambavyo we were led to believe.
If only JK would make bold moves kama Shein sasa hivi yafuatayo yangekuwa yanaendelea:
International Airport ingekunguwa ishaanza kujengwa Bagamoyo
Port ya Bagamoyo ingekuwa ishakamilika
Oil pipeline from Dar, Tanga & Mtwara to interior na great lakes region ingekuwa inafikia ukingoni
Mtwara port ingekuwa ishamalizwa kuwa upgraded na inashindana na Beira
Serengeti Highway ingekuwa ishaanza kunjengwa mithili ya interstate za kule USA au M1 highway in UK
Iringa, Mbeya, Tanga, na Mwanza zingekuwa zinapata portion kubwa zaidi kutokana revenues zinazoingia kwao ambazo wangeendelea kujenga airports na infrastructures zinginezo
Kigamboni Satellite town watu wangekuwa washalipwa na phase 1 ingekuwa imekwisha
Inshort mambo mengi yangekuwa yanaendelea kama vile serikali ya China inavyofanya.
Hawa ma eco imperialists na fascists hawawezi kuendelea kui-hold nchi hostage kwa sababu tuu lobby zao ziko headquatered in Nairobi, London na New York.
Anasema kuwa hoteli itajengwa Stone Town na asiyetaka akashtaki!
Sina uhakika na legalities na siwezi kutetea upande wowote kwani sina facts in hand ila one thing is for sure. Dr Shein sio mpole mpole kama ambavyo we were led to believe.
If only JK would make bold moves kama Shein sasa hivi yafuatayo yangekuwa yanaendelea:
International Airport ingekunguwa ishaanza kujengwa Bagamoyo
Port ya Bagamoyo ingekuwa ishakamilika
Oil pipeline from Dar, Tanga & Mtwara to interior na great lakes region ingekuwa inafikia ukingoni
Mtwara port ingekuwa ishamalizwa kuwa upgraded na inashindana na Beira
Serengeti Highway ingekuwa ishaanza kunjengwa mithili ya interstate za kule USA au M1 highway in UK
Iringa, Mbeya, Tanga, na Mwanza zingekuwa zinapata portion kubwa zaidi kutokana revenues zinazoingia kwao ambazo wangeendelea kujenga airports na infrastructures zinginezo
Kigamboni Satellite town watu wangekuwa washalipwa na phase 1 ingekuwa imekwisha
Inshort mambo mengi yangekuwa yanaendelea kama vile serikali ya China inavyofanya.
Hawa ma eco imperialists na fascists hawawezi kuendelea kui-hold nchi hostage kwa sababu tuu lobby zao ziko headquatered in Nairobi, London na New York.