Waandishi wa habari kwa sasa wanashindana kwa hali na Mali ili kila mmoja awe wa kwanza kutoa taarifa Fulani ili wapate umaarufu, maskini wamesahau kuwa taarifa tatu safi hufutwa na taarifa moja chafu. Wamekuwa wazembe wa kufanya utafiti wa kina juu ya habar Fulani.