Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Katika pitapita zangu nimekutana na hii tetesi ya kusikitisha juu ya shirika letu la ndege.
Kwanza, kuwa KLM iliwahi kuiomba TZ iikodishie kwa mkopo nafuu ndege zake ili ATC iwe mhsirika wake katika bishara ya usafiri wa anga. Maofisa walikataa kwa kuwa hawakuona mwanya wa kupata 10%. Ndege hizo zilichuliwa na Kenya air na sasa wanachanja mbuga.
Pili. Kuwa kampuni moja ya amerika inayotengeneza ndege aina ya boeing baada ya kuona kuwa Tz ni habu ya usafiri wa anga kwa nchi za Afrika iliiomba serikali iiuzie ndege mpya aina ya boeng kwa mkopo wa muda mrefu, serikali ili kataa kwa kisingizio kuwa sheria za manunuzi haziruhusu kununua moja kwa moja toka kwa manufacturer bali kupitia kwa wakala. Wamarekani wakagoma kupita kwa dalali na dili likafa. Kwa mtaji huu tutasafiria ndege za wakenya mpaka tukomae.
Kwanza, kuwa KLM iliwahi kuiomba TZ iikodishie kwa mkopo nafuu ndege zake ili ATC iwe mhsirika wake katika bishara ya usafiri wa anga. Maofisa walikataa kwa kuwa hawakuona mwanya wa kupata 10%. Ndege hizo zilichuliwa na Kenya air na sasa wanachanja mbuga.
Pili. Kuwa kampuni moja ya amerika inayotengeneza ndege aina ya boeing baada ya kuona kuwa Tz ni habu ya usafiri wa anga kwa nchi za Afrika iliiomba serikali iiuzie ndege mpya aina ya boeng kwa mkopo wa muda mrefu, serikali ili kataa kwa kisingizio kuwa sheria za manunuzi haziruhusu kununua moja kwa moja toka kwa manufacturer bali kupitia kwa wakala. Wamarekani wakagoma kupita kwa dalali na dili likafa. Kwa mtaji huu tutasafiria ndege za wakenya mpaka tukomae.